Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
afu kula akina mama wa nyumbani si kosa
inaitwa 'komunity impowament'
ni kuwawezesha akina mama wa nyumbani kununua vitu kama vitop, karolait, wigi, zazuu, kali n.k
maana waume zenyewe wanajua kutoa hela ya mchicha na chumvi tu.
Asprin, hebu endelea kuniwezesha bana.
inaitwa 'komunity impowament'
ni kuwawezesha akina mama wa nyumbani kununua vitu kama vitop, karolait, wigi, zazuu, kali n.k
maana waume zenyewe wanajua kutoa hela ya mchicha na chumvi tu.
Asprin, hebu endelea kuniwezesha bana.
Hahahaha..... Nimeipenda hii felow tablet klorokwini
Ukifa ntaweka bandiko: Here lays our hero! RIP our commander Afu kwa msisitizo kwa faida ya watu wa Tandale namalizia kabisa: Wake za watu wanakumiss sana mpambanaji!
Last edited by a moderator: