mkome wake za watu!

mkome wake za watu!

ila ule mchezo mtamu jamani kha! hasa umpate mgongaji hodari, wallah ni noumer! mmhhh watu watachinjwa tu, hakuna utaalamu pale, unamkuta profesa mzima jasho linamtoka, maneno hayasikiki anavyokuwa anatwanga, halafu ukute kinu chenyewe chatwangwia tangawizi, mhhhh!

Bubu, kiziwi, na kipofu, kiwete, Prof,maamuma, hakuna ambaye anaona ni shubiri wote wananyonga.
 
Faida yake nini sioni faida ya kutoa uhai wa mtu sababu ya K..Mke wako kama anafanya sex na mwanaume mwingine ni bora umpige talaka zake arudi kwao kuliko kuchukua uwamuzi wa kutoa mtu roho.

Mtu akifumaniwa na mke wa mtu akiuawa is is okay coz ni mweneza UKIMWI.
Sikia Maandiko Matakatifu yanenavyo:- "mshahara wa dhambi ni mauti".
 
nilisikia watu wakisema wengine wana allergy na na kutumia kifaa kimoja muda mrefu.
duuh! hivi kumbe waume zetu hamtuamini kias hiki? Lol mara nyingi sana huwa namuonea sana huruma mwanamke anayetoka nje ya ndoa yake kwa sababu ya vitu anavyovikosa, ikiwa ni upendo, hela nk. Lakin kamwe simuonei huruma mwanamme anayetoka nje eti kwasababu ni tabia yake.

Unajua tutatetea tu lakin ukweli ni kwamba tabia haina dawa hasa hii ya wanaume kutoka nje. Mwanamke wa mtu maskini kajeruhiwa but naamin kama angekuwa anapata kila alichohitaj asingalitoka nje ya ndoa yake.

Unaona sasa Asprin na @klorokwin mnataka kutumanisha kuwa ninyi mnatoka kwasababu sisi wake zenu tunatoka lakin ukweli ni kwamba mwanamke aliyeolewa akipata anachotaka anaweza kuish maisha yake yote akiwa ana fanya tendo la ndoa na mumewe tu. Hisia za kumdhani mwenzio ni mdhambi ni dhambi sana.

Pia ninyi mnatoka nje kwasababu ya tabia yenu tu na siyo vinginevyo.labda Bishanga utuambie kwanini wanaume wanatoka nje ya ndoa zao.
 
Namsikitikia aliye ua anakosa mke anaenda kuolewa jela.
 
kweli mke au mume wa mtu ni sumu.
Ila sasa mtu unaweza kuuliwa bila hatia maana watu wengine wameolewa wanasema wako single na pete za ndoa hawavai.
Wee unajijua uko na mali yako tena hadi unapanga kumsuprise kwa pete ya uchumba mara unafumaniwa unaambiwa huyu ni mke wangu au mume wangu.
Wanandoa mkiwa waaminifu haya hayatatokea,ukitongozwa kama wewe ni mke wa mtu wajibu wako ni kukataa tena uwe proud kumwambia anayekutongoza kuwa umeolewa.
 
si walipatana ya nini kumuua mwanaume ka ni kuuwawa wauwawe wote
 
Hii nimeinyaka kwenye gazeti la 'mwananchi' la leo uk 11:AUAWA BAADA YA KUFUMANIWAJoseph Lyimo,Kitetomkazi wa kijiji cha Weza wilayani Kiteto mkoani Manyara ameuawa kwa kuchomwa visu mwili mzima baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.....
@Bishanga wewe si ndio bingwa wa kuchukua wake za watu?.....tena nahisi jf nzima unashika namba moja tehe....ndio ujifunze sasa kuwa wake za watu ni sumu.
 
@Bishanga wewe si ndio bingwa wa kuchukua wake za watu?.....tena nahisi jf nzima unashika namba moja tehe....ndio ujifunze sasa kuwa wake za watu ni sumu.

Huyu jamaa alikuwa amacha,bishanga veteran.
 
Hahahaha......... unaweza kukuta wakati jamaa linaongea na mkewe huku na lenyewe kuna binti ananyonya sterengo yake ya kumwagia mkojo.... akishakata simu anamwambia, nshaongea na kile kidubwashika kilichokuzibia nafasi yako ya kulala na mimi kijumlajumla...., afu wanaendelea na kazi.

Mimi bana mimi naamini mke wangu anakuwa wangu napokuwa nae kitandani. Hata akienda msibani nahisi kuna mjanja atakuwa ananimegea. Ndo maana namimi nikipata nafasi naitumia vizuri....

Fellow tablet umenielewa? Haya niPM namba ya binti aliyeko bongo ambaye mme wake mko naye huko Singapore.
rafiki, kuna mjanja kaiba pwd yako ya JF, maana ni ngumu kuamini hayo maneno ya kwenye RED umeyaandika wewe
 
Back
Top Bottom