Huyo shangazi itakuwa ni mwanachama wa kile chama mpaka anapika wali wa kijani 😂Wazee kabla hawajapata mafao wanakuaga na mipango mizuri sana (sometimes na sisi wengine pia kabla ya kushika hela mipango kabambe imenyoooka kama rula ngoja hela ije mkononi sasa sijui ibilisi anatokeaga wapi)
Shangazi yangu: mipango ilikua anunue mashine ya kusaga tena enzi hizo daaah 😹, baada ya kupata mafao ikawa na kupika wali wa rangi tu leo wa kijani kesho mwekundu hatimae pesa zikaisha salama.
Bi mdashi: kwakua ametusomesha kwa kufuga tukaona ni vema aendelee na kazi yake, plan afuge kitimoto, kuku wa kutosha chakula cha mifugo kijae hapo, aishi bila mawazo kabisa....
Kilichotokea daaaah.....niseme tu nae kwakweli pesa ziliisha salama.
Sqfi sanaMmh hapana nliona mambo ni mchanganyiko asee nikimpigia sijui alikua anahisi nataka hela zake, anapokea hasemi halooo akipokea "eeh unasemaje" nikaona hapana.....
Mi mbona sitoleagi mate mali ya mtu yoyote nkaamua kukaa kimya kwanza.
Safi kwenye nini sasa bro 😹Sqfi sana
Watu wanamshauri kama wanapenda vile kumbe wanataka kupiga fedha!! Akaingia kingHaha kuna mwalimu mmoja alikuwa anapenda nafasi fulani ndani ya chama cha CCM ambayo aliona inamarupurupu mazuri zaidi ya kazi yake ya uwalimu,wanaccm wenzake wakamshauri kuwa kama anataka nafasi hiyo anatakiwa astafu kwa hiyari ili aweze kukitumikia chama angali kijana.
Mwalimu aliomba kustaafu kwa hiyari na kwa kuwa maombi ya kustaafu yalikuwa na mkono wa chama twawala majibu yake na mafao yake hayakuchelewa kutoka.
Na kwakuwa nafasi aliyokuwa anahitaji ilikuwa siyo ya kupewa bure ilikuwa ni ya kugombea na alikuwa ameaminishwa kuwa atapitishwa bila kupingwa,uchaguzi ulipofika alishangaa kuwa hakuwa peke yake kama alivyoahidiwa kuwa hatakuwa na mpinzani atapitishwa bila kupingwa.
Hivyo ilibidi atumie Sera ya CCM ya mkono mtupu haulambwi na toa kitu upate kitu,Siku ya siku mwalimu kaangukia pua,mafao yake yamepigwa na wapambe waliomwaminisha kuwa watampitisha bila kupingwa mpaka sasa hivi mwalimu yuko juu ya mawe kama gari iliyokosa mataili na wenye kumpitisha bila kupingwa nao hawaonekani tena.
Nimecheka sanaaaeeh unasemaje"
Cheka tu ila kwakweli ni huzuni 😹😹😹Nimecheka sanaaa
Hao wapambe kiswahili wanaitwa wapambe nuksi ha ha haHaha kuna mwalimu mmoja alikuwa anapenda nafasi fulani ndani ya chama cha CCM ambayo aliona inamarupurupu mazuri zaidi ya kazi yake ya uwalimu,wanaccm wenzake wakamshauri kuwa kama anataka nafasi hiyo anatakiwa astafu kwa hiyari ili aweze kukitumikia chama angali kijana.
Mwalimu aliomba kustaafu kwa hiyari na kwa kuwa maombi ya kustaafu yalikuwa na mkono wa chama twawala majibu yake na mafao yake hayakuchelewa kutoka.
Na kwakuwa nafasi aliyokuwa anahitaji ilikuwa siyo ya kupewa bure ilikuwa ni ya kugombea na alikuwa ameaminishwa kuwa atapitishwa bila kupingwa,uchaguzi ulipofika alishangaa kuwa hakuwa peke yake kama alivyoahidiwa kuwa hatakuwa na mpinzani atapitishwa bila kupingwa.
Hivyo ilibidi atumie Sera ya CCM ya mkono mtupu haulambwi na toa kitu upate kitu,Siku ya siku mwalimu kaangukia pua,mafao yake yamepigwa na wapambe waliomwaminisha kuwa watampitisha bila kupingwa mpaka sasa hivi mwalimu yuko juu ya mawe kama gari iliyokosa mataili na wenye kumpitisha bila kupingwa nao hawaonekani tena.
HahahaaaMmh hapana nliona mambo ni mchanganyiko asee nikimpigia sijui alikua anahisi nataka hela zake, anapokea hasemi halooo akipokea "eeh unasemaje" nikaona hapana.....
Mi mbona sitoleagi mate mali ya mtu yoyote nkaamua kukaa kimya kwanza.
Nimecheka mpaka nimemwaga uji wangu wa muhogo nilikuwa nakula😂😆😆Nimecheka sanaaa
Hio 1/4 ya mishahara so ndio atapewa kwa miaka 12? Mbona Kama unaongelea vitu viwili tofautiAmbayo ukijumlisha miaka 60 ya kustafia anakuwa 72 umri wa kufa kabisa huu lkn pia bado 1/4 ya mshahara wake pension ya kila mwezi. Ata bila kuwekeza kwenye biashara anaweza ku survive yeye na mke wake.