Mkopaji aishtaki Akiba Commercial Bank (ACB) kwa upotevu wa hati ya nyumba

Mkopaji aishtaki Akiba Commercial Bank (ACB) kwa upotevu wa hati ya nyumba

Mwaka 2016 nililipia kifurushi Dstv kupitia tigo pesa ili nione match zote za world cup, guess what.. ile pesa ilikatwa kwenye akaunti lakini haikwenda Dstv.

Niligundua kuwa hazikwenda baada ya kuwasiliana na Dstv na wao kunitaka niwasiliane na tigo. Nilipiga simu sana tena sana tigo customer care, wanakili pesa kweli imekatwa na wanadai kulikua na hitilafu kwenye mifumo yao.

Kufupisha story ile pesa hadi navyoandika hapa sikuwahi kurudishiwa maana baadae ilibidi nilipe kwa mtandao mwingine huku nikiwasiliana nao, hadi kwenye maduka yao nilifika hakuna msaada zaidi ya itarudishwa baada ya saa 72. Naunga mkono hoja watoa huduma wengi wanapuuzia wateja na kuwadharau.

Ngoja hawa wanyooshwe mahakamani.

NB: audio ya mazungumzo kati yangu na wao ninayo.
Mtafute kibatala hapo Kuna sio chini ya billion 5 madai usisahau kunipa mrejesho
 
tatizo kuna wakati benki hata kama umemaliza mkopo na wakajua unataka kuhamia benki nyingine na wao bado wanakuhitaji kama mteja (mkopaji na mlipaji mzuri), huwa na hizi style za kukusumbua kutoirudisha hati yako kwa wakati hata kama umelipia gharama zote za kubadili umiliki haya ufanyika ili usihame benki uendelee kukopa kwao.

note: kumbuka wakati wa kukopa hati lazima ibadilishwe umiliki toka kwa jina la mteja kwenda jina la benki husika.
 
Akilipwa hiyo pesa...nimekaa pale..
Alafu nilitaka kushangaa dada kamalizaje deni hilo kirahisi hivyo, kumbe alikopa sehem nyingine....
kiufupi, dada kafirisika
Unaongea kirahc mzee. Hujawah kufanya biashara wewe. We taasisi inapoteza hati unachukulia poae. Hiv ikikutwa kwa mtu kashauziwa hiyo nyumba ingekuwaje. Unaonekana bado ni kijana hujakua wewe.
 
Yes leo watu wa benki nao waone uchungu wanao upata wakopaji kwenye marejesho pyumbavu zao
 
Unaongea kirahc mzee. Hujawah kufanya biashara wewe. We taasisi inapoteza hati unachukulia poae. Hiv ikikutwa kwa mtu kashauziwa hiyo nyumba ingekuwaje. Unaonekana bado ni kijana hujakua wewe.
Bank sio microfinance za kitunda mkuu..
Hawakurupuki kuuza nyumba tu..
Umeshasema taasisi.. wana intelijensia yao.. anzia hapo tu alafu utajua kwanini nimesema huyo kafirisika
 
Kwani benki ni kama nyumbani kwa mtu kwamba document inaweza kuchomolewa kirahisi hivyo bila kuacha trail?
Wengi hawajui, nyaraka kama Hati zilizowekwa dhamana zinatunzwa sehemu salama sana na mostly zinatunzwa strong rooms, sehemu ambayo access yake hata afisa mikopo aliyetoa mkopo hawezi kufika.
Ili kuipata hati atamuomba boss wake tena kwa maandishi.
Hati kupotea sio jambo rahisi ni chain ya watu zaidi ya mmoja.
 
Deal done!, Meneja masoko aliiona imezubaa sehemu aliichomoa akaenda kuichoma moto, kisha akasuka deal na mwenye hati now deal inaenda kuitika.

Hizi issue za kula kwa urefu wa kamba siyo serikalini tu, ni mkuu wa kaya kasema kamba yako inapoishia nawe ishia kula hapo...
 
Kwa nini unasema hivyo mkuu? Umewahi kupata usumbufu wa kuzungushwa na taasisi fulani? Kama ni kweli kuwa walipoteza hati yake halafu wakaanza kumzungusha, hadi baada ya kutishiwa kushtakiwa ndo wakamuandikia barua kuwa hati imepotea, sio fair kabisa mkuu. Kupotea kwa hati sio jambo la ajabu sana, ila walitakiwa ku handle vizuri swala zima. Cha kwanza, walitakiwa kumuita na kukaa nae mara tu bada ya kugundua kuwa wamepoteza hati yake, kisha kumwambia hatua ambazo wamechukua na wanaendelea kuzichukua kufanyia kazi suala lake.
Itakua hujawahi kusumbuliwa mkuu, taasisi nyingi za bongo zina tabia ya "kuchukulia poa mambo" au kama kupotezea ishu za aina hii zinazomsumbua mteja. Ndio maana bongo hela yako inaweza kukatwa kimiujiza na benki, na ukifuatilia unaambiwa ni makosa, halafu hiyo hela kurudishwa inaweza chukua hata mwaka unafuatilia tuu, na they get away with that mara nyingi kwa sababu wabongo sis wengi wetu ni "makondoo" (samahani kwa kutumia neno hili). Yaani hatujui haki zetu. Ndio maana mtu akifuatilia haki yake kama hivi anaonekana kama analazimisha mambo.

Uko sahihi mtu akitaka haki yake anaonekana anataka sehem ya kupigia hela
 
  • halafu Wakili wa hiyo benki nimemuangalia kwenye mfumo wa mawakili, hajahuisha Leseni yake ya uwakili, akijaribu kwenda mahakamani in person atawekewa pingamizi la awali, na pia huyo Wakili wao ni very junior compared to King Kibatala.
  • Cha kufanya hiyo benki watafute mawakili wengine nje ya hiyo bank Kama Kina Nashon Nkungu, Dickson Matata,John Mallya,Kwa kiwango Fulani itawasidia kupangua hoja za Kisheria
-
 
Naina FURSA nyingine ya Ajali ya MWENDO KASI yule Majeruhi aliye gongwa na BUS alipo kuwa anatembea sehemu ya watemwbea kwa MIGUU kampuni ya DART lazima imlipe INSURANCE NDEFU sn .

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom