Mkopo awamu ya pili tayari au bado

Mkopo awamu ya pili tayari au bado

Joined
Dec 26, 2015
Posts
68
Reaction score
46
Wakuu kwema Aise naandika huku naogopa. Nina wadogo watatu wanaanza first year mwaka huu na walishaaply mkopo cha kishangaza awamu ya kwanza hola hakuna hata mmoja aliepata na waliandikiwa kwenye akaunti zao wasubiri mpaka leo tarehe 21 ila naona siku inaisha hakuna mabadiliko yoyote na hawa wote wamesoma shule za serikali na wote wananitegemea mimi. Aise kwani kuna ambao leo wamepata huo mkopo kiukweli mawazo yanakuwa mengi mno nikiwaza kusomesha madogo watatu hii serikali iwage inatuangalia na sisi ma first born kuna namna ukizaliwa first born bongo basi wewe ni mateso mpaka unakufa
 
Wakuu kwema Aise naandika huku naogopa. Nina wadogo watatu wanaanza first year mwaka huu na walishaaply mkopo cha kishangaza awamu ya kwanza hola hakuna hata mmoja aliepata na waliandikiwa kwenye akaunti zao wasubiri mpaka leo tarehe 21 ila naona siku inaisha hakuna mabadiliko yoyote na hawa wote wamesoma shule za serikali na wote wananitegemea mimi. Aise kwani kuna ambao leo wamepata huo mkopo kiukweli mawazo yanakuwa mengi mno nikiwaza kusomesha madogo watatu hii serikali iwage inatuangalia na sisi ma first born kuna namna ukizaliwa first born bongo basi wewe ni mateso mpaka unakufa
Ni janga la wengi hakikaa tuzidi kumuomba mungu na kuwa na subra kwan tar21 bado haijaisha ...
 
Hata mimi mkuu presha tele kuna ndugu yangu nilimuombea mmoja kapata batch ya kwanza mwengine aliandikiwa tarehe 21 ana wasiwasi sana naombea apate .
 
Inawezekana leo wamepitia hola kwa wote maana nina watu kama 7 walioambiwa leo ninaowajua wota bilabila
 
Nina Password za watu wawili nimecheki now kote hakuna majibu Helsb wazinguaji sana usikute kesho ukakuta kibango cha tarehe nyingine , enewei hakuna namna kusubiri tu..

Sijui itakuwaje tarehe 21 ndo hiyoo inayoyoma
 
Dear Applicant, allocation of loans for academic year 2022/2023 is on going. You are advised to visit your ‘SIPA’ by October 27th, 2022.

(Ndugu mwombaji, upangaji mkopo kwa mwaka wa masomo 2022/2023 BADO UNAENDELEA. Tafadhali tembelea tena akaunti yako ya ‘SIPA’ ifikapo Oktoba 27, 2022.)
 
Dear Applicant, allocation of loans for academic year 2022/2023 is on going. You are advised to visit your ‘SIPA’ by October 27th, 2022.

(Ndugu mwombaji, upangaji mkopo kwa mwaka wa masomo 2022/2023 BADO UNAENDELEA. Tafadhali tembelea tena akaunti yako ya ‘SIPA’ ifikapo Oktoba 27, 2022.)
Inaonekama leo awajatoa kwa mtu yeyote yule.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-10-22-01-06-25.png
    Screenshot_2022-10-22-01-06-25.png
    112.2 KB · Views: 8
Wamezingua kinoma ,halafu tarehe wameweka mbali sana wanazidi kuongeza siku za watu kubali na stress na mapresha dah! hii inchi ngumu sana..
 
Wamezingua kinoma ,halafu tarehe wameweka mbali sana wanazidi kuongeza siku za watu kubali na stress na mapresha dah! hii inchi ngumu sana..
Me nadhani hiyo ndio imetoka,wangekua wana nia ya kuwapa watu mikopo wangetoa mapema coz haiwezekani wanajua kabisa vyuo vyote vinafunguliwa tarehe 24 halafu wenyewe mikopo watoe tarehe 27 kweli?
 
Back
Top Bottom