Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Ndivyo wamesema? Hiyo tar 27?Me nadhani hiyo ndio imetoka,wangekua wana nia ya kuwapa watu mikopo wangetoa mapema coz haiwezekani wanajua kabisa vyuo vyote vinafunguliwa tarehe 24 halafu wenyewe mikopo watoe tarehe 27 kweli?