wala hata...hata miaka ya nyuma ilikuw hvyo hvyo lbd kama cvyo..kwhy hapo status itabadilika kw mda wowote kwa wachache..then hyo tarh 27 ikawa kw batch 3.Mawazo ya kujipa moyo [emoji16][emoji16], kumbe tupo wengi
Mkuu una uhakika na maneno yakk maana wengi wameandikiwa hvyo mpaka 27/10wala hata...hata miaka ya nyuma ilikuw hvyo hvyo lbd kama cvyo..kwhy hapo status itabadilika kw mda wowote kwa wachache..then hyo tarh 27 ikawa kw batch 3.
Batch ya pili hakuna aliyepataMkuu una uhakika na maneno yakk maana wengi wameandikiwa hvyo mpaka 27/10
Are you sure mkuu?Batch ya pili hakuna aliyepata
Mnatuchanganya nyie vijana.Batch ya pili hakuna aliyepata
Mnatuchanganya,which is which?Batch two tiyari batch three ndo hiyo tareh 27 so Ambao hamjapata ENDELEENI kupiga dua
Kijana wako lazima Apate mkopo kuwa na Amani mkuuMnatuchanganya,which is which?
Ngoja tuzidishe maombi mkuuKijana wako lazima Apate mkopo kuwa na Amani mkuu
Batch ya pili hakuna aliyepata
Nimemuombea dogo hajapata. Kwenye account wameandika mpaka oktoba 27....nimemuuliza dogo awaulize marafiki zake kasema woote hawajapataMnatuchanganya,which is which?
Ngoja tuendelee kuwa na subiraNimemuombea dogo hajapata. Kwenye account wameandika mpaka oktoba 27....nimemuuliza dogo awaulize marafiki zake kasema woote hawajapata
Kama watu wa Sensa wanajua kutoa moyo walitoa maneno mazuri kwa waliokosa eti wasikate tamaa wajaribu nafasi tena 2032..Wanatupiga kalenda tuπ na maneno mazuri
Hata mimi madogo hapa home kaandikiwa 27 kuna mmoja nae nimemuuliza yeye kasema hajapata pamoja marafiki zake wote chuoni ..Nimemuombea dogo hajapata. Kwenye account wameandika mpaka oktoba 27....nimemuuliza dogo awaulize marafiki zake kasema woote hawajapata
Kweli au ?Kweli mkuuu saiv naona Kuna watu wanawekewa mda wowot tofaut nawalivyotangaza,,, nikuzidisha maombi na subira
Ni muhimu kupeana moyo kwa nyakati kama hizi ,mimi ndugu zangu wawili wakike wote hawana Baba Mzazi wameweka mpaka vyeti vya kifo lakini hola mpaka sasa.Kijana wako lazima Apate mkopo kuwa na Amani mkuu
Watapata Mkuu tuendelee kuwaombea ili Wafanikishe Jambo laoNi muhimu kupeana moyo kwa nyakati kama hizi ,mimi ndugu zangu wawili wakike wote hawana Baba Mzazi wameweka mpaka vyeti vya kifo lakini hola mpaka sasa.
Sema pale Helsb Kuna jamaa namjua niliunganishwa na Mbunge wa Tabora ili anipe mkopo wa Ada bahati mbaya nilikutaga bajeti ishafungwa ila mwaka uliofata aliniwekea Ada kitu Kama million 1 hivi huyo Jamaa ni Chief excutive wa helsbJuzi nipo Masjid Maamur upanga nimekutana na bosi wa Helsb Badru anatoka masjid nado kidogo nilitaka nimsalimie kisha nimpange kuhusu madogo zangu na matatizo zao nimeambie mkuu anifanyie mchongo ila nilikosa ujasiri tu leo ndio nimeikumbuka ile bahati πππ