Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Wewe ndo umejichanganya, Hiyo 1,500,000/=,izidishe sasa Mara miezi Kumi na mbili. Jibu utakalolipata ni 18,000,000/=.
Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Kwani wamekusapraizi? Hawakukupa breakdown kabla?Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Ukijifanya unaharaka sana na pesa utaondoka bila kujua utakatwa kiasi gani kila mweziKwani wamekusapraizi? Hawakukupa breakdown kabla?
Hii ndo nini sasa???Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Kweli?
Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Kama ni kweli unayosema, ulikopa bila kusoma vigezo na masharti? hukupiga hesabu kwamba utatakiwa kurudisha kiasi gani badae? kama ndivyo, basi UMASKINI umeukaribisha mwenyewe, na wajinga ndio waliwao.Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
100%
Mkuu unataka uingize siasa kwenye hesabu...wewe weka formula nduguKabla sijaweka formula. Nikikuambia uchukue leo 500000tsh na nikikuambia nikupe hiohio 500000tsh baada ya miaka miwili. Utachukua ipi?
Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Mkuu naweza kuja inbox ukanieleza jambo?1. Tatizo la wakopaji wa TANZANIA wamekwisha kuwa addicted na mikopo
2. Anakopa mkopo benki wa muda mrefu tena ni mfanyakazi na haachi nafasi ya dharura kwenye mshahara wake na baada ya muda anakwenda kwenye vikundi kule nako anaelemewa anakimbilia kwa wale watu binafsi ambao hata viwango vyao vya riba havipo dunia hii na hushikilia mpaka kadi za benki.
3. Akifika kwenye taasisi ya kukopesha yeye maswali yake ni mawili tuu NITAPATA KIASI GANI na NATAPATA LINI
4.Yale masharti yaliyopo kwenye mkataba wa mkopo kama riba kwa mwezi, ada ya mkopo, bima na processing fees haulizi wala hana muda huo na afisa mkopo hawezi kumwambia
5. Taasisi nyingi za kibepari zinazokopesha zinatumia deminishing method katika riba tuu na sio principal hivyo ukienda maamuma wakikuambia reducing method unaingia kichwa kichwa kumbe, wameweka mtego wanajua katika miaka yote 6 huwezi kuvumilia iishe bila kurudi kwao kuomba fedha tena..ndipo unaingia kwenye mtego uitwao TOP UP. Hapo tayari wanakuwa wameshavuna riba yao yoote inabaki pricipal wanakuweka tena kifungo kingine tena unakuta masharti ya riba yalishabadilika wee huna habari
6. Hapo bado hujamkatia afisa mikopo ili akufanyie fasta ukalipe furushi la madeni mengine unayodaiwa....hapo unaununua umaskini unajiona hivi hivi. Fanya tafiti kabla ya kukopa usisukumwe na shida zako..utajuta utakuwa unawafanyia kazi tuu hela yoote wanachukua
Mkuu hawakupi pesa.Hivi hizi Islamic bank inakuaje ambapo hakuna riba?