Mkopo NMB: Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !

Status
Not open for further replies.
Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !

Umaskini hauishi kamwe.

umekopa au umekopesha maana hapo kuku kazaa mbuzi.
yani nchi yetu inashindwa kitu kimoja kutambua mchango wa mwananchi kujenga nchi.hizi benki sio rafiki na sema sio rafiki hata ukiweka hesabu ya kikokotoo hapo hiyo asilimia yake ni kichekesho.
 
Haya ndio mambo ambayo serikaliya wanyonge ilipaswa kushughulika nayo maana yana athir moja kwa moja maisha ya raia wengi.
Sasa sijui katuroga nani mpaka tunashabikia ujinga tu.
 
Hayo mabank yaliambiwa yapunguze riba zao lakini kimya mpaka kesho..
 
Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !

Umaskini hauishi kamwe.
Kama ni kweli unayosema, ulikopa bila kusoma vigezo na masharti? hukupiga hesabu kwamba utatakiwa kurudisha kiasi gani badae? kama ndivyo, basi UMASKINI umeukaribisha mwenyewe, na wajinga ndio waliwao.
 
Kabla sijaweka formula. Nikikuambia uchukue leo 500000tsh na nikikuambia nikupe hiohio 500000tsh baada ya miaka miwili. Utachukua ipi?
Mkuu unataka uingize siasa kwenye hesabu...wewe weka formula ndugu
 
Mkuu naweza kuja inbox ukanieleza jambo?
 
Aya makato yabenk unapojiwekea muda mref kwa kujifariji kua utarejesha kdg kdg na hutasikia maumivu ndo unavyozid kuumia apo ungeamua kujilipua tu marejesho ya laki 3 na 50 ungejikuta unarejesha ata kwa miaka mi3 tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…