Wewe hesabu ilikupita kushoto darasani popote ukiiona kimbia Sana utokomee..... Amekwambia anakatwa 250,000 kila mwezi sasa Kwa miezi 12 anakuwa amekatwa 21*250,000=3,000,000 hivyo ndani ya Miaka sita anakuwa amekatwa 18millionHuu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
[emoji16][emoji16][emoji16]mwenyewe umeona umepatiaaa kumbe unajichora.Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Umasikini hauwezi kuisha ikiwa tutaukaribisha sisi wenyewe. Imagine umekopa hio 9 mil then ukaenda kununua ka Vitz au IST yako ili uvimbe mtaani lazima uumie kwa makato hayo from low salary scale mfano tu hio mil 9 ukanunua boda boda 3 na change ukaiweka kwa contigency unakuta hio laki 2 na nusu kwa mwezi sio Janga. Tu jiulize tunakopa Pesa kwa ajili ya kufanya nini? maana wakopeshaji nao wanataka pesa.Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
kabla ya kuchukua mkopo hukusoma hayo masharti?Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Na wewe jibu ilo swali kwanza ili iwe rahisi kukufundisha io concept ukaielewa boss.Mkuu unataka uingize siasa kwenye hesabu...wewe weka formula ndugu
====Mmhhh mbona km Unaibiw Crdb Mkopo M12.7 makato 259 miaka 7 inarudishwa My 21 ss ww iwe hvyo kapige hesabu vzr
Mkopo hulipwa kila mwezi so fanya hivi... 6x12x250,000 . siku nyingine ukufaham wewe mburura usikurupuke kujibu hasa kama inahusu namba.Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
[/QUOTE
Benki hazikopeshi, zinanyonya wateja
Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Wahi hospitali mkuu....kitengo cha magonjwa ya akili.Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
26% interest?Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Ndo mana nimekwambia acha siasa boss...kwa hiyo jibu langu litabadilisha iyo formula....weka formula....formula za hesabu huwa hazibadiliki we niwekee tu formulaNa wewe jibu ilo swali kwanza ili iwe rahisi kukufundisha io concept ukaielewa boss.
Formular zipo kibao boss ila nikiweka formular hapa bila kukupa background concept ni kaz bure
ndo ukomeMkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.