Kagenge kangu kakijaa jaa ntaenda nikope mkopo mkubwa nifanye mambo kwa muda wote huo wa miaka 6 mwee, ntakuwa na Msupa marketi ntaizungusha weee, ntaizunguusha wee , ntaizungushaa wee, et nmeskia mkoa jiran ukiingia shamba hata kwa laki 5 kulima ndondo waeza pata kadilio la Tsh1.8milllion miez 6 je mara 50% ya huo mhela afu wao uwanalipa mdogo mdogo, "Make Your Gold Multiply" rejea kitabu The Richest Man in Babylon, mabenki wanafanya hvyo kwako kwa pesa za watu nawe fanya hivyo kwa pesa zako au ukipenda nunua gari mkuu😀😀, nilianza na mafungu kumi ya nyanya sasa yamefika 30 naamin ipo sku ntadaka mnoti kama huo, kila la heri ndugu, Tchao Muuza ,Nyanya