Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
 
Hatimaye umenena nilichokuwa nawaza muda wote.

Korea Kusini ni koloni la Marekani. Hilo liko wazi. Urusi yeye anaichumbia Korea Kaskazini.

Marekani anatafuta mbinu za kushikilia ushawishi wake unaodorora Afrika.

Hivyo anatumia mbinu kama hizi ili aendelee kupendeka.

Mfano hai ni ziara za hivi karibuni za rais wa Kenya nchini Marekani.

Hivi si ajabu kwamba matukio haya ya ziara ya rais wa Kenya nchini Marekani na rais wa Bongo Korea Kusini yametokea katika wakati mmoja?
 
Hatimaye umenena nilichokuwa nawaza muda wote.

Korea Kusini ni koloni la Marekani. Hilo liko wazi. Urusi yeye anaichumbia Korea Kaskazini.

Marekani anatafuta mbinu za kushikilia ushawishi wake unaodorora Afrika.

Hivyo anatumia mbinu kama hizi ili aendelee kupendeka.

Mfano hai ni ziara za hivi karibuni za rais wa Kenya nchini Marekani.

Hivi si ajabu kwamba matukio haya ya ziara ya rais wa Kenya nchini Marekani na rais wa Bongo Korea Kusini yametokea katika wakati mmoja?
Marekani keshajua kuwa Museveni Yuko Urusi tayari. Amekataa ushoga waziwazi bila kupepesa macho.
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
World War III inanukia dalili zote zipo wazi !
Kinachosubiriwa ni Who’s gonna pull the trigger first 😳🙄
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Kavulata,
Umeamka na hangover unaanza kuandika pumba:
1. Tanzania haina siasa ya kufungamana na kokote kule, ni nchi ya kutangatanga tu, wakiambiwa huko kuna pesa wanaenda huko, hawajali Marekani, wala China wala Japani. Hilo ujue. Ni Nchi isyokuwa na msimamo.
2. Nani anaitafuta Tanzania? Sisi ndiyo tegemezi siyo hao unaowataja, bila ya wewe wanaishi vizuri tu, ila bila ya wao huwezi kuishi.
3. Tanzania Trade Volume ni negligible compared na hao unawahofia, wala huna chembe ya kuwapa hofu. Facebook ina utajiri kuliko Tanzania, Tesla inaishinda Tanzania, au Anglo Gold; kwa hiyo lala upumzike wala hofu kama hzio usiwe nazo.

Kwani wewe unaishi wapi? Major News Media zinataja Tanzania kwa mwezi mara ngapi?
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Tukianzia na uvuvu wako wa kifikiri. Hata hujui debt financing na hujui kama hujui. Kazi kweli kweli
 
Marekani keshajua kuwa Museveni Yuko Urusi tayari. Amekataa ushoga waziwazi bila kupepesa macho.
Mieeveni hayuko urusi, ni kama sisi tu tunashirikiana na nchi nyingi.
And hilo suala la ushoga america hana shida nalo maana hali athiri uchumi wake, anachotsfuta america ni nore trading partners and support ku capture vituo vipya vya uchumi
 
Kavulata,
Umeamka na hangover unaanza kuandika pumba:
1. Tanzania haina siasa ya kufungamana na kokote kule, ni nchi ya kutangatanga tu, wakiambiwa huko kuna pesa wanaenda huko, hawajali Marekani, wala China wala Japani. Hilo ujue. Ni Nchi isyokuwa na msimamo.
2. Nani anaitafuta Tanzania? Sisi ndiyo tegemezi siyo hao unaowataja, bila ya wewe wanaishi vizuri tu, ila bila ya wao huwezi kuishi.
3. Tanzania Trade Volume ni negligible compared na hao unawahofia, wala huna chembe ya kuwapa hofu. Facebook ina utajiri kuliko Tanzania, Tesla inaishinda Tanzania, au Anglo Gold; kwa hiyo lala upumzike wala hofu kama hzio usiwe nazo.

Kwani wewe unaishi wapi? Major News Media zinataja Tanzania kwa mwezi mara ngapi?
Sahihi kabisa
 
Tanzania imekopa fedha kwa riba ya 0.01,na iyalipa hiyo fedha kwa wakati, hakuna vita ya 3 ya Dunia kwa nyakati hizi sahau hilo, dunia imestaarabika sana, kila vita huwa na kalkulesheni zake maalum, hata unavyoona South Afrika ana blame Israel, usidhani ni kweli, "watu wanakemea mambo lakini wakifurahia kwa chini chini." "This is the world of bright and intelegent men "" note this!
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
sasa mkuu hata ikitokea vita ya 3 sisi tuna athari gani kwenye vita hiyo,
1.hatuna ushawishi wowote
2. hatuna technology yeyote hasa kivita ambayo watabenefit kutoka kwetu
3. hatuna hela ya kuwachangia kununua silaha...nk
tuache kujipa umuhimu kwenye mataifa makubwa....
 
Back
Top Bottom