Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

M
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Mkuu no money no honey ulijue hilo.Acha mawazo ya alinacha ya kuwatubukiza wananchi kwenye ulofa.Achana na hao mbwa koko ambao wanahutubia uzuri wa ujamaa wakati hulipwa mishahara na serikali hawana machungu, hata biashara ya kuuza mkaa inawashinda.

Mwalimu Nyerere aliingia hiyo fix,akajipambanua kama mwana harakati pan africanist,mkombozi wa makoloni n.k lakini hadi anaondoka madarakani tena kwa shindikizo la wafadhili world bank na IMF, tulikuwa tunapanga foleni ya unga wa yanga kutoka nje tukashindwq hata kuzalishi unga wa mahindi yetu. Kutoka miaka 1973 hadi 1985 tulikula unga wa Yanga.
Hadi pale Raisi Mwinyi alipokuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanzania 1985 Mzee Mwinyi alitoa ruksa mtu kulima,ruksa kuuza mazao yake au kusafirisha mazao yako nchini kokote tukaachana na road block na vibali.

Acheni hizo stupid theory zenu sisi tunataka practical reality.
Maendeleo yanataka pesa,na utashi wa kisiasa.
Kinachofuata ni kuomba msaada.Wafadhili wako tayari kukupa bure vitu kama chakula na vile vitu basic.lakini siyo wajinga, kukupa pesa za miradi harafu isitumike kama ilivyopangwa.
Watanzania kwanza tunatakiwa kujitambua.
Mnasema Mjomba Magu alikuwa ana vision ya nchi hii,kiasi fulani alifanikiwa lakini kiasi fulani hakujua kitu gani kitangulie.
Na kwa sababu ya ukali wake tumejikuta kwenye big dilemma ya deficit,
Una import zaidi kuliko unachozalisha bado mnalalamika hakuna USD?nonsense.
Kwa upofu wetu mnampelekea moto Dr. Samia ohhh hakuna pesa ya kigeni wakati msuka issue ya kijinga alikuwa mjomba wangu,hakuwa na uwezo wa kulipa hizo project kubwa kwa nchi maskini kama ya kwetu.
Pammoja na hilo Mama akaweza kumaliza hiyo miradi.
 
Kavulata,
Umeamka na hangover unaanza kuandika pumba:
1. Tanzania haina siasa ya kufungamana na kokote kule, ni nchi ya kutangatanga tu, wakiambiwa huko kuna pesa wanaenda huko, hawajali Marekani, wala China wala Japani. Hilo ujue. Ni Nchi isyokuwa na msimamo.
2. Nani anaitafuta Tanzania? Sisi ndiyo tegemezi siyo hao unaowataja, bila ya wewe wanaishi vizuri tu, ila bila ya wao huwezi kuishi.
3. Tanzania Trade Volume ni negligible compared na hao unawahofia, wala huna chembe ya kuwapa hofu. Facebook ina utajiri kuliko Tanzania, Tesla inaishinda Tanzania, au Anglo Gold; kwa hiyo lala upumzike wala hofu kama hzio usiwe nazo.

Kwani wewe unaishi wapi? Major News Media zinataja Tanzania kwa mwezi mara ngapi?
Pweinti
 
sasa mkuu hata ikitokea vita ya 3 sisi tuna athari gani kwenye vita hiyo,
1.hatuna ushawishi wowote
2. hatuna technology yeyote hasa kivita ambayo watabenefit kutoka kwetu
3. hatuna hela ya kuwachangia kununua silaha...nk
tuache kujipa umuhimu kwenye mataifa makubwa....
Well said
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Uzi wa kipumbavu kweli kweli
 
Kavulata,
Umeamka na hangover unaanza kuandika pumba:
1. Tanzania haina siasa ya kufungamana na kokote kule, ni nchi ya kutangatanga tu, wakiambiwa huko kuna pesa wanaenda huko, hawajali Marekani, wala China wala Japani. Hilo ujue. Ni Nchi isyokuwa na msimamo.
2. Nani anaitafuta Tanzania? Sisi ndiyo tegemezi siyo hao unaowataja, bila ya wewe wanaishi vizuri tu, ila bila ya wao huwezi kuishi.
3. Tanzania Trade Volume ni negligible compared na hao unawahofia, wala huna chembe ya kuwapa hofu. Facebook ina utajiri kuliko Tanzania, Tesla inaishinda Tanzania, au Anglo Gold; kwa hiyo lala upumzike wala hofu kama hzio usiwe nazo.

Kwani wewe unaishi wapi? Major News Media zinataja Tanzania kwa mwezi mara ngapi?
Wacha kujichuwa mwenyewe. Afrika ina maliasili nyingi sana wanazozihitaji wazungu.
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.


Hata bandari,reli na viwanja vya ndege vimeshawekwa Chini ya US kupitia Dubai.

Hii ni vita ya kiuchumi kwa upande wa magharibi ikisimamiwa na kuongozwa na watu waovu wanaofungamana na Mashoga na wasagaji.

Shetani amejiinua juu ya Taifa la Tanzania kwa rushwa ya fedha na madaraka.

2025 tuuondoe uovu kwenye karatasi za kura. Kumnyima kura mtu asiyefaa ni nafasi nzuri na halali ya kidemokrasia.

Huyu mtu akikaa miaka 10 Tanganyika yenye watu mil. 65 itamezwa na Familia ya Mfalme wa falme za Kiarabu kwa manufaa ya Waarabu wanaoishi maisha ya anasa Dubai huku watoto wetu wakiwa watumwa wa kubeba mabegi na kusafisha makalio ya watoto wao wanapojinyea kwenye pampasi.

Nimeona mpaka akina Kafulila wanashangilia Mapesa wanayohongwa ili kuwapumbaza Watanganyika.

Huyu mtu mkitaka kujua kuwa yupo kwa ajili ya kuimaliza Tanganyika basi tuwaulize wazanzibar na waarabu popote walipo duniani Je, wapo Tayari wao kuongozwa naye ?
Jibu ni kwamba Mwenyezi Mungu hakuruhusu Mwanamke kuongoza wanadamu. Je,nani yupo nyuma ya mpango huu ambao hata mwenyezi Mungu hauruhusu ?
Bila shaka ni shetani ?
Je, Watanganyika tumekubali kumuasi Mungu na kumtii shetani ambaye lengo lake ni kumaliza kizazi cha mwanadam duniani?

Demokrasia isitufanye kuasi miungu yetu na imani yetu . Hata mababu zetu walikua hawawapi nafasi wanawake kufanya matambiko ya kiimani na kutangulia kwenye misitu kutoa sadaka na matambiko ya kuomba mvua na kuondoa Mabalaa.

Kuna genge la wageni wanaotaka kulazimisha mitano tena lakini wanania ya kumaliza rasilimali za nchi hii ndio maana wanamtukuza kuliko Mungu mana shetani ameshawaamuru wamsunudie ili wapewe fahari yote ya dunia.
Shetani aliwahi kumjaribu Yesu na kumwambia kuwa akimsujudia atampa Fahari zote za Dunia mana zumewekwa chini yake! Yesu Alikataa na kimwambia kuwa Anayepaswa kusujudiwa ni Mungu peke yake.

Katiba ya Tanzania imeweka mali zote na utajiri wa nchi chini ya Rais ambaye kwa sasa ni Dr. Samia. Huo ni mtego mkubwa sana ambao pia shetani katika utawala mzima wa Kiroho amepewa uwezo wa kumiliki Ufahari wote wa Dunia.
Hapa kuna viumbe wawili waliopewa nguvu sawa za kumiliki .

Mmoja anamiliki Ufahari wa Dunia na mwingine
Katiba ya wanadamu imempa uwezo wa kumiliki Rasilimali zote za nchi na madaraka yote na fedha zote na majeshi yote . Huyu ni Mungu na zaidi ya shetani katika kumiliki.
Huyu anasujudiwa na watu wengi wenye imani na wasio na imani kukataa kumsujudia ni hatar zaidi mana unakosa madaraka ,fedha, na kufukuzwa kwenye ardhi yako kama kule Loliondo na kupewa wanaomsujudia.

2025 ni vyema tukakataa utawala wa kumkufuru Mungu na kuleta katiba itakayowafanya watu wote kuwa sawa mbele za Mungu na kuondoa hii kufuru ya watu tuliowachagua kuwa juu ya mungu na kwa manufaa ya shetani na mashoga na wasagaji duniani.
 
anachotsfuta america ni nore trading partners and support ku capture vituo vipya vya uchumi
Anachopigania America sasa hivi ni kulinda hegemony yake, ambayo inatishiwa na Russia (nguvu za kivita), China (kivita na uchumi), na BRICS +Global South(kiuchumi)
Hegemony inampa mwanya wa kuitawala na kuiendesha dunia anavyotaka yeye kwa kuwa ana nguvu za kijeshi na kiuchumi.
 
Hakuna nchi ipo tayari kupigana WW3, Endapo itatokea hii vita, ndo itakuwa vita mbaya zaidi kupiganwa katika uso wa dunia na possibly ndo ukawa ndo mwisho wa maisha ya kila kiumbe kinachoishi juu ya uso wa dunia. Why nasema hivi, urusi alishaonya kuwa akigiswa tu anaachia nule zake kuelekea taifa lolote specifically analengwa USA baada ya shambulizi USA atashambulia kwa nguvu zaiddi akisaidiwa na mataifa ya NATO dunia yote italipuka na hakuna kiumbe atabakia hai. Hivo hii vita haitatokea kamwe
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Hata vita ikitokea watake Tanzania kwa lipi?Labda Kenya ya Ruto,atakaye peleka askari wake Haiti, kusaidia kurudisha amani.
Katika nchi za Afrika ni Misri, South Africa, Angola,Algeria,Nigeria,Ethiopia ,Morocco ndio nchi za Magharibi wangetaka ushirikiano kwa sababu za kijeshi au kiuchumi au strategic position.
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Nonsense!
 
Halafu baada ya kupokea hivyo vijisenti vyao tumekubali kuwa maadui wa Korea Kaskazini - INATUHUSU NINI? kwanini marafiki wetu watuchagule maadui na marafiki ?
 
... DOES IT MATTER WHERE WE STAND?
... AS FAR AS THE UKRAINE SAGA IS CONCERNED OUR STAND AS A COUNTRY HAS ZERO IMPACT, AND I, PERSONALLY, WOULD KINDLY GRAB THE BRIBES!
😅
Zero impact eeh, subirieni wakimbizi kutoka US na Urusi
 
M

Mkuu no money no honey ulijue hilo.Acha mawazo ya alinacha ya kuwatubukiza wananchi kwenye ulofa.Achana na hao mbwa koko ambao wanahutubia uzuri wa ujamaa wakati hulipwa mishahara na serikali hawana machungu, hata biashara ya kuuza mkaa inawashinda.

Mwalimu Nyerere aliingia hiyo fix,akajipambanua kama mwana harakati pan africanist,mkombozi wa makoloni n.k lakini hadi anaondoka madarakani tena kwa shindikizo la wafadhili world bank na IMF, tulikuwa tunapanga foleni ya unga wa yanga kutoka nje tukashindwq hata kuzalishi unga wa mahindi yetu. Kutoka miaka 1973 hadi 1985 tulikula unga wa Yanga.
Hadi pale Raisi Mwinyi alipokuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanzania 1985 Mzee Mwinyi alitoa ruksa mtu kulima,ruksa kuuza mazao yake au kusafirisha mazao yako nchini kokote tukaachana na road block na vibali.

Acheni hizo stupid theory zenu sisi tunataka practical reality.
Maendeleo yanataka pesa,na utashi wa kisiasa.
Kinachofuata ni kuomba msaada.Wafadhili wako tayari kukupa bure vitu kama chakula na vile vitu basic.lakini siyo wajinga, kukupa pesa za miradi harafu isitumike kama ilivyopangwa.
Watanzania kwanza tunatakiwa kujitambua.
Mnasema Mjomba Magu alikuwa ana vision ya nchi hii,kiasi fulani alifanikiwa lakini kiasi fulani hakujua kitu gani kitangulie.
Na kwa sababu ya ukali wake tumejikuta kwenye big dilemma ya deficit,
Una import zaidi kuliko unachozalisha bado mnalalamika hakuna USD?nonsense.
Kwa upofu wetu mnampelekea moto Dr. Samia ohhh hakuna pesa ya kigeni wakati msuka issue ya kijinga alikuwa mjomba wangu,hakuwa na uwezo wa kulipa hizo project kubwa kwa nchi maskini kama ya kwetu.
Pammoja na hilo Mama akaweza kumaliza hiyo miradi.
Alifanikiwa nn magu
 
Hivi ombaomba huwa anachagua pa kwenda?
Acheni mawazo hayo
Bakula unatembeza popote na ndio maana ya umasikini
Ukisikia nchi haifungamani
Wakiamua wanasogeza manuwari hata Dar na hakuna wa kuongea
Yaani waombe kwenye vita
 
M

Mkuu no money no honey ulijue hilo.Acha mawazo ya alinacha ya kuwatubukiza wananchi kwenye ulofa.Achana na hao mbwa koko ambao wanahutubia uzuri wa ujamaa wakati hulipwa mishahara na serikali hawana machungu, hata biashara ya kuuza mkaa inawashinda.

Mwalimu Nyerere aliingia hiyo fix,akajipambanua kama mwana harakati pan africanist,mkombozi wa makoloni n.k lakini hadi anaondoka madarakani tena kwa shindikizo la wafadhili world bank na IMF, tulikuwa tunapanga foleni ya unga wa yanga kutoka nje tukashindwq hata kuzalishi unga wa mahindi yetu. Kutoka miaka 1973 hadi 1985 tulikula unga wa Yanga.
Hadi pale Raisi Mwinyi alipokuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanzania 1985 Mzee Mwinyi alitoa ruksa mtu kulima,ruksa kuuza mazao yake au kusafirisha mazao yako nchini kokote tukaachana na road block na vibali.

Acheni hizo stupid theory zenu sisi tunataka practical reality.
Maendeleo yanataka pesa,na utashi wa kisiasa.
Kinachofuata ni kuomba msaada.Wafadhili wako tayari kukupa bure vitu kama chakula na vile vitu basic.lakini siyo wajinga, kukupa pesa za miradi harafu isitumike kama ilivyopangwa.
Watanzania kwanza tunatakiwa kujitambua.
Mnasema Mjomba Magu alikuwa ana vision ya nchi hii,kiasi fulani alifanikiwa lakini kiasi fulani hakujua kitu gani kitangulie.
Na kwa sababu ya ukali wake tumejikuta kwenye big dilemma ya deficit,
Una import zaidi kuliko unachozalisha bado mnalalamika hakuna USD?nonsense.
Kwa upofu wetu mnampelekea moto Dr. Samia ohhh hakuna pesa ya kigeni wakati msuka issue ya kijinga alikuwa mjomba wangu,hakuwa na uwezo wa kulipa hizo project kubwa kwa nchi maskini kama ya kwetu.
Pammoja na hilo Mama akaweza kumaliza hiyo miradi.
Wewe undhani ujamaa ni mbaya?
Angalia prosperity ya China na Russia kisha rudi darasani.
Hujui figisu alizopigwa Nyerere juu ya ujamaa? Unadhani Magu alifeli kama unavyotaka kutuaminisha?
Unadhani watu wanamchukia SSH, huoni ufisadi umetamalaki?
OK, let's say wakati wa Nyerere kulikuwa na shida, huuu uwekezaji wa migodi, mbuga nk umeleta manufaa gani kwa Mtanzania?
Acha watu waseme tunaibiwa
 
Hatimaye umenena nilichokuwa nawaza muda wote.

Korea Kusini ni koloni la Marekani. Hilo liko wazi. Urusi yeye anaichumbia Korea Kaskazini.

Marekani anatafuta mbinu za kushikilia ushawishi wake unaodorora Afrika.

Hivyo anatumia mbinu kama hizi ili aendelee kupendeka.

Mfano hai ni ziara za hivi karibuni za rais wa Kenya nchini Marekani.

Hivi si ajabu kwamba matukio haya ya ziara ya rais wa Kenya nchini Marekani na rais wa Bongo Korea Kusini yametokea katika wakati mmoja?
Wewe unahisi tukiwa upande wa Marekani kwenye hivyo vita tutasaodia nini katika kumnyorosha Putin na Russia na unahisi tutakos nini kwa kujiunga na Marekani?
 
Kavulata,
Umeamka na hangover unaanza kuandika pumba:
1. Tanzania haina siasa ya kufungamana na kokote kule, ni nchi ya kutangatanga tu, wakiambiwa huko kuna pesa wanaenda huko, hawajali Marekani, wala China wala Japani. Hilo ujue. Ni Nchi isyokuwa na msimamo.
2. Nani anaitafuta Tanzania? Sisi ndiyo tegemezi siyo hao unaowataja, bila ya wewe wanaishi vizuri tu, ila bila ya wao huwezi kuishi.
3. Tanzania Trade Volume ni negligible compared na hao unawahofia, wala huna chembe ya kuwapa hofu. Facebook ina utajiri kuliko Tanzania, Tesla inaishinda Tanzania, au Anglo Gold; kwa hiyo lala upumzike wala hofu kama hzio usiwe nazo.

Kwani wewe unaishi wapi? Major News Media zinataja Tanzania kwa mwezi mara ngapi?
Mkuu kavalata ana hoja, usisahau urusi ndio wanaochimba madini ya uranium nchi Tanzania.

Kimkakati ukiipata Tanzania umeingia Rwanda, Burundi, Congo, Malawi na Zambia.
 
We are electing idiots to lead us
Mkuu the one on the wrong is the public!

This leaders do not come from Mars! They are not alien or angels Mkuu.

These leaders are a true reflection of ourselves and our behaviors!

So Mkuu do not blame them, blame the masses /society that shape them and then elect them to lead us!
 
Back
Top Bottom