Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

Wewe unahisi tukiwa upande wa Marekani kwenye hivyo vita tutasaodia nini katika kumnyorosha Putin na Russia na unahisi tutakos nini kwa kujiunga na Marekani?
Wenzio wanapiga hesabu za miaka mingi ijayo, huku wewe ukiweka malengo ya kutwa tu. Hiyo ndiyo tofauti.

Urusi ndio wanaochimba madini ya uranium nchi Tanzania.

Kimkakati ukiipata Tanzania umeingia Rwanda, Burundi, Congo, Malawi na Zambia.
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Kwan US wameshatoa misaada mingapi kwa Tz? Kwann wasitoe wao mojakwamoja mpaka wapitie kwa Korea?
 
Kwan US wameshatoa misaada mingapi kwa Tz? Kwann wasitoe wao mojakwamoja mpaka wapitie kwa Korea?
Anafanya hivyo ili kuepusha tafrani asizopenda. Kumbuka Ukreni anahitaji misaada, Israeli naye.

Wakati huohuo wananchi Wamarekani wanalia kwa ajili ya kupanda kwa gharama za maisha.

Bila shaka US anamtumia Mkorea ili kukwepa lawama hizo.

Usisahau pia kwamba Marekani ndiye kinara wa utakatishaji wa dola duniani.

Anatumia makoloni yake kama Korea na Kenya ili kuchapisha na kutakatisha pesa. Usisahau hali ilivyokuwa wakati wa vita Siria, Afghanistan, Iraki, nk
 
Kavulata,
Umeamka na hangover unaanza kuandika pumba:
1. Tanzania haina siasa ya kufungamana na kokote kule, ni nchi ya kutangatanga tu, wakiambiwa huko kuna pesa wanaenda huko, hawajali Marekani, wala China wala Japani. Hilo ujue. Ni Nchi isyokuwa na msimamo.
2. Nani anaitafuta Tanzania? Sisi ndiyo tegemezi siyo hao unaowataja, bila ya wewe wanaishi vizuri tu, ila bila ya wao huwezi kuishi.
3. Tanzania Trade Volume ni negligible compared na hao unawahofia, wala huna chembe ya kuwapa hofu. Facebook ina utajiri kuliko Tanzania, Tesla inaishinda Tanzania, au Anglo Gold; kwa hiyo lala upumzike wala hofu kama hzio usiwe nazo.

Kwani wewe unaishi wapi? Major News Media zinataja Tanzania kwa mwezi mara ngapi?
Kama wao wanaweza kuishi bila sisi kwanini sisi tusiishi bila wao? Unataka kunambia Facebook inautajiri kushinda Rasilimali zetu! Tatizo nchi yetu inaongozwa na watu ambao hawawezi kufikiria kwa mapana.

Mtu unakopa kwa watu weupe bado tenda uwape watu weupe, hela nyingine utie mfukoni kwa ubinafsi wako, Na unataka kupunguza budget tegemezi ni upumbafu mtupu wa viongozi wetu.

Ndo maana huwa na sema, hii nchi wanafalsafa na wanasosholojia wanatakiwa kushika hii nchi. Tukiwajaza bungeni hawa watu hutakaa ukasikia wanachangia au kupendekeza hoja za uongo(Siasa). Tunawapa watu dhamana ya kutuongoza tukiamini ni wasomi wanaweza kutuongoza kumbe kwenye uongozi hawawezi kabisa kwa sababu hawakusomea uongozi.
 
Tafadhali tafadhali bajeti ya Bunge inasema wazi pesa zoooooote na kodi na nini kwa pesa za ndani hatuwezi kuwa na pesa 100% kwa kuendesha nchi.
Yaani kuna asilimia karibu 40 lazima tukope na nyingine lazima tutembeze bakuli tutake tusitake, ndio hapo tunapata zile kauli deni ni himilivu.

Hii ni toka tupate uhuru mpaka leo. Wakigoma kutukopesha na kutupa misaada ( grants) kama zile trillion alizotoa Makamu wa rais wa marekani na wengineo maendeleo na hata mishahara itakwama. dawa hamna n.k. Hakuna Rais aliyeweza kutukwamua hapo. Sisi ni mojawapo za nchi masikini ambazo hatuko mbali na mkiani mwa nchi masikini duniani, halafu eti tujimwambafai inanikumbusha kabila fulani maarufu huko kusini utakuta wanapiga suti 7 kwa siku 7 kila siku na suti yake mfukoni hamna kitu.
 
Hakuna nchi ipo tayari kupigana WW3, Endapo itatokea hii vita, ndo itakuwa vita mbaya zaidi kupiganwa katika uso wa dunia na possibly ndo ukawa ndo mwisho wa maisha ya kila kiumbe kinachoishi juu ya uso wa dunia. Why nasema hivi, urusi alishaonya kuwa akigiswa tu anaachia nule zake kuelekea taifa lolote specifically analengwa USA baada ya shambulizi USA atashambulia kwa nguvu zaiddi akisaidiwa na mataifa ya NATO dunia yote italipuka na hakuna kiumbe atabakia hai. Hivo hii vita haitatokea kamwe
hizi ni story tu za kufikirika....kwamba kuna taifa litatumia silaha itakayoangamiza mpaka raia wake......
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
NDO KANUNULIA ZILE PKPK AU
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Ni ukweli mtupu Mkuu! Ruto kaishavutwa na Marekani kwa nguvu! na midebwedo mingine imeitwa korea inajikesha kama mintunga ya kisukuma Rubbish! Niwaambie kitu Bi kizimkazi akiambiwa auze figo zetu ili tu aweze kuwa rais bila shida atafanya hivyo! When some fools desperate they become extremely dangerous!
 
sasa mkuu hata ikitokea vita ya 3 sisi tuna athari gani kwenye vita hiyo,
1.hatuna ushawishi wowote
2. hatuna technology yeyote hasa kivita ambayo watabenefit kutoka kwetu
3. hatuna hela ya kuwachangia kununua silaha...nk
tuache kujipa umuhimu kwenye mataifa makubwa....
Kwenye WWII walitumwa waafrika kwenda kuwa vibega na wapishi na wale wanajeshi walitangulizwa front kama chambo ya kupima nguvu ya adui!
Tutatumika tu trust me!
 
Mada hii inanipa uhakika wa jambo moja tu; HII URUSI NI LIDUDE LIMOJA KUUUBWA SANA. Yaani linahangaisha superpower namna hii?!!!! Inawezekana iuna mengi ambayo hatuyajui.
 
Anachopigania America sasa hivi ni kulinda hegemony yake, ambayo inatishiwa na Russia (nguvu za kivita), China (kivita na uchumi), na BRICS +Global South(kiuchumi)
Hegemony inampa mwanya wa kuitawala na kuiendesha dunia anavyotaka yeye kwa kuwa ana nguvu za kijeshi na kiuchumi.
Viongozi wetu wanaangalia foleni inayosogea ila kujua magari kwenye foleni yanapinda kuelekea wapi. Unaweza kuhamia kwenye foleni ya magari yanayopinda kuelekea Temeke wakati wewe unataka kunyoosha kwenda posta. Viongozi wetu wamekubali mkopo bila kufahamu kwa mapana kwanini mkopo huo uje sasa Na sio Jana wala juzi. Hii ni ndoana ambayo itatuvua kuelekea magharibi bila hiari yetu.

Kwani January kasoma nchi gani?
 
Hakuna nchi ipo tayari kupigana WW3, Endapo itatokea hii vita, ndo itakuwa vita mbaya zaidi kupiganwa katika uso wa dunia na possibly ndo ukawa ndo mwisho wa maisha ya kila kiumbe kinachoishi juu ya uso wa dunia. Why nasema hivi, urusi alishaonya kuwa akigiswa tu anaachia nule zake kuelekea taifa lolote specifically analengwa USA baada ya shambulizi USA atashambulia kwa nguvu zaiddi akisaidiwa na mataifa ya NATO dunia yote italipuka na hakuna kiumbe atabakia hai. Hivo hii vita haitatokea kamwe
Vîta ziko mbili, Na vita kubwa Na mbaya zaidi ni vita ya kiuchumi. Ulaya Na marekani wameshanusa kuwa Russia inakwenda kuziingiza kwenye umaskini mbaya sana kwa kuzisaidia kijeshi nchi ambazo zinazilisha nchi za magharibi kwa chakula, malighafi na masoko. Urusi iko syria, Iran, China, India, Venezuela, cuba, Burkina Faso, Mali, Niger, DR Congo, nchi za kiarabu nk. Nchi hizi wako tayari kufa kwa vita kuliko fedheha ya kufa kwa njaa. Hasira za ufaransa kwa Russia inatokana Na ukweli huu wa kunyang'anywa makoloni
 
Back
Top Bottom