Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

Sio
Kavulata,
Umeamka na hangover unaanza kuandika pumba:
1. Tanzania haina siasa ya kufungamana na kokote kule, ni nchi ya kutangatanga tu, wakiambiwa huko kuna pesa wanaenda huko, hawajali Marekani, wala China wala Japani. Hilo ujue. Ni Nchi isyokuwa na msimamo.
2. Nani anaitafuta Tanzania? Sisi ndiyo tegemezi siyo hao unaowataja, bila ya wewe wanaishi vizuri tu, ila bila ya wao huwezi kuishi.
3. Tanzania Trade Volume ni negligible compared na hao unawahofia, wala huna chembe ya kuwapa hofu. Facebook ina utajiri kuliko Tanzania, Tesla inaishinda Tanzania, au Anglo Gold; kwa hiyo lala upumzike wala hofu kama hzio usiwe nazo.

Kwani wewe unaishi wapi? Major News Media zinataja Tanzania kwa mwezi mara ngapi?
Sio kweli kaka, hio ilikuwa zamani enzi za Nyerere, siku hizi tunafungamana. Hebu fanyeni ziara ya wazi mbele ya camera pale Korea kaskazini tuone kama hamfungamani.
 
Kwan US wameshatoa misaada mingapi kwa Tz? Kwann wasitoe wao mojakwamoja mpaka wapitie kwa Korea?
Ulitaka US iwaite Tena waende Marekani? We hujui kuwa Korea kusini inawindwa na Korea kaskazini pia? Hujui kuwa adui ya rafiki Yako ni adui Yako pia?
 
Mieeveni hayuko urusi, ni kama sisi tu tunashirikiana na nchi nyingi.
And hilo suala la ushoga america hana shida nalo maana hali athiri uchumi wake, anachotsfuta america ni nore trading partners and support ku capture vituo vipya vya uchumi
Jambo ambalo wewe na mazuzu wengine hawalijui ni kwamba NATO itatumika kuichukua tena afrika kama zamani. Na hili haliko mbali sana, ni baada ya kuiangusha urusi na china.
 
sisi wala ugali na dagaa hizo vita labda waje kupigana huku ndo tutaathirika...
ila wakipigania uko kwao sie hatuna shida
njaa tushaizoea kwa siku milo miwili au mmoja
acha mama awe (chura)
asisikie kelele za mabomu😀
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Huku aje yeyote hela italambwa tu.......tokea enzi za changa la macho la vyama vingi ili tupate mikopo, wahuni wakafanya wamekubali masharti ila walikua wanajua kitabaki chama kile kile mambo ndo hadi leo,,,juzi kati pesa za corona watu wamelamba na hakuna habari za kulazimisha machanjo............bongo ilivyo wahuni wanaweza kula pesa ya mmarekani na wakala pesa ya mrusi maisha yakaendelea
 
Jambo ambalo wewe na mazuzu wengine hawalijui ni kwamba NATO itatumika kuichukua tena afrika kama zamani. Na hili haliko mbali sana, ni baada ya kuiangusha urusi na china.
It a mistake kutukana au kumuita mtu jina lisilo la kistaarabi halaf ndio unajibu hoja.
Huwez kujibu hoja bila ku name mtu vitu vichafu?
Anyway maybe that you, but then again tz ni mchanganyiko, so do other EA countries, currently hatuna uchumi ambao unaweza kuyumbisha soko la dunia kwa maamuzi ya kwetu.

but then again NATO wanajua wana loose influence fast, is why wanahangaik now, so interest za US and NATO is to maintain uchumi wao, china na russia ni threat to uchumi wao, is not about vita is about nani atakaa on the top kichumi
 
It a mistake kutukana au kumuita mtu jina lisilo la kistaarabi halaf ndio unajibu hoja.
Huwez kujibu hoja bila ku name mtu vitu vichafu?
Anyway maybe that you, but then again tz ni mchanganyiko, so do other EA countries, currently hatuna uchumi ambao unaweza kuyumbisha soko la dunia kwa maamuzi ya kwetu.

but then again NATO wanajua wana loose influence fast, is why wanahangaik now, so interest za US and NATO is to maintain uchumi wao, china na russia ni threat to uchumi wao, is not about vita is about nani atakaa on the top kichumi
Ufaransa hana namna nyingine isipokuwa kupigana na Urusi ili kuyabakisha makoloni yake yasimponyoke. Kiuchumi Korea Kusini Iko karibu na ufaransa kuliko Tanzania. Nchi za NATO uchumi wake umeparaganyika, haukui hazina luxury ya kutoa misaada kwetu, zinahitaji misaada pia. Kama wao wamekupa misaada monono wenye masharti nafuu kwanini wewe ukatae ombi lao la kujenga kituo kikubwa cha kijeshi kwenye nchi yao?
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
Mmmmh...siku hizi hata kufanya kautafiti kidogo hakuna,mtu anaropoka TU, Si Marekani Wala Urusi hazipo tayari kuanzisha vita ya 3 ya Dunia
 
Mmmmh...siku hizi hata kufanya kautafiti kidogo hakuna,mtu anaropoka TU, Si Marekani Wala Urusi hazipo tayari kuanzisha vita ya 3 ya Dunia
Huu ndio uzembe wa mtu mweusi, kudhani kuwa "haiwezekani" kutokea vita ya 3 ya Dunia wakati wenzao watu weupe wanajiandaa nayo kama itatokea.
 
Kw
M

Mkuu no money no honey ulijue hilo.Acha mawazo ya alinacha ya kuwatubukiza wananchi kwenye ulofa.Achana na hao mbwa koko ambao wanahutubia uzuri wa ujamaa wakati hulipwa mishahara na serikali hawana machungu, hata biashara ya kuuza mkaa inawashinda.

Mwalimu Nyerere aliingia hiyo fix,akajipambanua kama mwana harakati pan africanist,mkombozi wa makoloni n.k lakini hadi anaondoka madarakani tena kwa shindikizo la wafadhili world bank na IMF, tulikuwa tunapanga foleni ya unga wa yanga kutoka nje tukashindwq hata kuzalishi unga wa mahindi yetu. Kutoka miaka 1973 hadi 1985 tulikula unga wa Yanga.
Hadi pale Raisi Mwinyi alipokuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanzania 1985 Mzee Mwinyi alitoa ruksa mtu kulima,ruksa kuuza mazao yake au kusafirisha mazao yako nchini kokote tukaachana na road block na vibali.

Acheni hizo stupid theory zenu sisi tunataka practical reality.
Maendeleo yanataka pesa,na utashi wa kisiasa.
Kinachofuata ni kuomba msaada.Wafadhili wako tayari kukupa bure vitu kama chakula na vile vitu basic.lakini siyo wajinga, kukupa pesa za miradi harafu isitumike kama ilivyopangwa.
Watanzania kwanza tunatakiwa kujitambua.
Mnasema Mjomba Magu alikuwa ana vision ya nchi hii,kiasi fulani alifanikiwa lakini kiasi fulani hakujua kitu gani kitangulie.
Na kwa sababu ya ukali wake tumejikuta kwenye big dilemma ya deficit,
Una import zaidi kuliko unachozalisha bado mnalalamika hakuna USD?nonsense.
Kwa upofu wetu mnampelekea moto Dr. Samia ohhh hakuna pesa ya kigeni wakati msuka issue ya kijinga alikuwa mjomba wangu,hakuwa na uwezo wa kulipa hizo project kubwa kwa nchi maskini kama ya kwetu.
Pammoja na hilo Mama akaweza kumaliza hiyo miradi.
Wewe ni wale aina ya watu wanaotamani kuwa mbwa ulaya kuliko kuwa binadamu afrika. Wewe una mawazo yaleyale ya wafadhali, wahisani, wabia wa maendeleo, nk. Duniani hakuna kitu kama hicho cha sisimizi kuwa huru kutembea na kuzunguuka ndani ya chupa yenye ufuniko.
 
Kw

Wewe ni wale aina ya watu wanaotamani kuwa mbwa ulaya kuliko kuwa binadamu afrika. Wewe una mawazo yaleyale ya wafadhali, wahisani, wabia wa maendeleo, nk. Duniani hakuna kitu kama hicho cha sisimizi kuwa huru kutembea na kuzunguuka ndani ya chupa yenye ufuniko.
Kwanza kuwa na adabu pia acha stress za kilofa,fanya kazi kwa juhudi na maarifa tena siku hizi wamewaongezea AI.
Dunia ya leo unataka kula bila kunawa?
 
Kwanza kuwa na adabu pia acha stress za kilofa,fanya kazi kwa juhudi na maarifa tena siku hizi wamewaongezea AI.
Dunia ya leo unataka kula bila kunawa?
Yaani wewe uko kwenye ngazi ya familia Yako bado,
 
Kw
M

Mkuu no money no honey ulijue hilo.Acha mawazo ya alinacha ya kuwatubukiza wananchi kwenye ulofa.Achana na hao mbwa koko ambao wanahutubia uzuri wa ujamaa wakati hulipwa mishahara na serikali hawana machungu, hata biashara ya kuuza mkaa inawashinda.

Mwalimu Nyerere aliingia hiyo fix,akajipambanua kama mwana harakati pan africanist,mkombozi wa makoloni n.k lakini hadi anaondoka madarakani tena kwa shindikizo la wafadhili world bank na IMF, tulikuwa tunapanga foleni ya unga wa yanga kutoka nje tukashindwq hata kuzalishi unga wa mahindi yetu. Kutoka miaka 1973 hadi 1985 tulikula unga wa Yanga.
Hadi pale Raisi Mwinyi alipokuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanzania 1985 Mzee Mwinyi alitoa ruksa mtu kulima,ruksa kuuza mazao yake au kusafirisha mazao yako nchini kokote tukaachana na road block na vibali.

Acheni hizo stupid theory zenu sisi tunataka practical reality.
Maendeleo yanataka pesa,na utashi wa kisiasa.
Kinachofuata ni kuomba msaada.Wafadhili wako tayari kukupa bure vitu kama chakula na vile vitu basic.lakini siyo wajinga, kukupa pesa za miradi harafu isitumike kama ilivyopangwa.
Watanzania kwanza tunatakiwa kujitambua.
Mnasema Mjomba Magu alikuwa ana vision ya nchi hii,kiasi fulani alifanikiwa lakini kiasi fulani hakujua kitu gani kitangulie.
Na kwa sababu ya ukali wake tumejikuta kwenye big dilemma ya deficit,
Una import zaidi kuliko unachozalisha bado mnalalamika hakuna USD?nonsense.
Kwa upofu wetu mnampelekea moto Dr. Samia ohhh hakuna pesa ya kigeni wakati msuka issue ya kijinga alikuwa mjomba wangu,hakuwa na uwezo wa kulipa hizo project kubwa kwa nchi maskini kama ya kwetu.
Pammoja na hilo Mama akaweza kumaliza hiyo miradi.
Kwa mtu mwenye akili timamu anajua kuwa vita ya Urusi na Ukraine ni vita ya kupinga colonization na decolonization of the world. Nchi zinazomuunga mkono Ukraine ni zile zilizokuwa zinamiliki makoloni, ni zile zinazotumia silaha kupora mali za wengine. Mtu mwenye akili yenye akili kutokea nchi zinazonyonywa lazima ataitakia heri Urusi kwenye vita hii.
 
Hatimaye umenena nilichokuwa nawaza muda wote.

Korea Kusini ni koloni la Marekani. Hilo liko wazi. Urusi yeye anaichumbia Korea Kaskazini.

Marekani anatafuta mbinu za kushikilia ushawishi wake unaodorora Afrika.

Hivyo anatumia mbinu kama hizi ili aendelee kupendeka.

Mfano hai ni ziara za hivi karibuni za rais wa Kenya nchini Marekani.

Hivi si ajabu kwamba matukio haya ya ziara ya rais wa Kenya nchini Marekani na rais wa Bongo Korea Kusini yametokea katika wakati mmoja?
Wakati Dunia inanusa hatari sisi tunanusa njaa. Wakati mataifa yanatengeneza yanatengeneza historia sisi tunatengeneza madawati. Miaka 60 ya uhuru bado Kuna nchi inakopa kutengeneza madawati ya shule.
 
Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini.

Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya Urusi vs NATO kwa kutumia umaskini na uvivu wetu wa kujituma, kujitegemea na kufikiria. Viongozi wetu wametunasisha kwenye mtego mpya na mbaya sana.

Tunawaza misaada TU muda wote na wakati wote. Wazungu wamesema wenyewe kuwa hawana cha bure (no free lunch).

Taifa liepuke kuwapa madaraka makubwa watu wote waliosoma kwa scholarships nchi za NATO.
🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom