matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #41
Sio kesi kasisi.matunduizi kwani ukiwa ktk hali ya kufunga kuna ishara gani nitaziona ktk mwili wako hata mimi wa pembeni nijue kwamba huyu mtu amefunga?
Kama unadhani hazipo hizo ishara wewe unapata wapi guts za kusema akina fulani hawafungi?
Tunaongea uhalisia.
Pia simaanishi ile mifungo ya maelekezo ya kanisa kama Kwalesma, au waislam Ramadhan au Wasabato Siku kumi za maombi.
Namaanisha private kwa mujibu wa maelezo mengi na uzoefu mwingi kwa watu ninaokutana nao zaidi ya kuombewa wao ni kupambana na maisha tu na hawafanyi hayo ila mambo yanaenda na ni watu wa imani. Ndio najiuliza wao wanalindwaje?