Mkristo kushabikia au kuwa na upande vita vya Israel na Hamas ni matokeo ya ujinga wa maandiko

Mkristo kushabikia au kuwa na upande vita vya Israel na Hamas ni matokeo ya ujinga wa maandiko

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kushabikia Wayahudi au Waislam katika vita hivi ni matokeo ya ujinga wa maarifa.

Wayahudi na waislam wote hawamjui Yesu. Wananyozidi kuuana wanaongeza idadi ya watu wa jehanam.

Mkristo unatakiwa kuombea amani, na katika amani hiyo hao Wayahudi wasiomjua Yesu na Waislam wakiwemo hamas wasiomjua Yesu waokolewe.

Maana pasipo kumuamini Yesu unakoswa njia ya kuingia mbinguni.

Nimeona kuna ushabiki mkubwa hadi makanisani. Watu badala ya kutembea na bendera ya nchi wanayembea na tubendera twa israel ambao hawamjui Yesu. Kwana hakuna ushahidi kama hao ni waisrael kweli wa kwenye maandiko.

Ni hayo tu.

Ukielewa basi mfahamishe na mwenzako.
 
Kushabikia Wayahudi au Waislam katika vita hivi ni matokeo ya ujinga wa maarifa.

Wayahudi na waislam wote hawamjui Yesu. Wananyozidi kuuana wanaongeza idadi ya watu wa jehanam.

Mkristo unatakiwa kuombea amani, na katika amani hiyo hao Wayahudi wasiomjua Yesu na Waislam wakiwemo hamas wasiomjua Yesu waokolewe.

Maana pasipo kumuamini Yesu unakoswa njia ya kuingia mbinguni.

Nimeona kuna ushabiki mkubwa hadi makanisani. Watu badala ya kutembea na bendera ya nchi wanayembea na tubendera twa israel ambao hawamjui Yesu. Kwana hakuna ushahidi kama hao ni waisrael kweli wa kwenye maandiko.

Ni hayo tu.

Ukielewa basi mfahamishe na mwenzako.
Ukisema siyo wayahudi wa kweli! Tuonyeshe wayahudi wa kweli, wako nchi gani?
 
Kushabikia Wayahudi au Waislam katika vita hivi ni matokeo ya ujinga wa maarifa.

Wayahudi na waislam wote hawamjui Yesu. Wananyozidi kuuana wanaongeza idadi ya watu wa jehanam.

Mkristo unatakiwa kuombea amani, na katika amani hiyo hao Wayahudi wasiomjua Yesu na Waislam wakiwemo hamas wasiomjua Yesu waokolewe.

Maana pasipo kumuamini Yesu unakoswa njia ya kuingia mbinguni.

Nimeona kuna ushabiki mkubwa hadi makanisani. Watu badala ya kutembea na bendera ya nchi wanayembea na tubendera twa israel ambao hawamjui Yesu. Kwana hakuna ushahidi kama hao ni waisrael kweli wa kwenye maandiko.

Ni hayo tu.

Ukielewa basi mfahamishe na mwenzako.
Waokolewe na nini?
 
Kushabikia Wayahudi au Waislam katika vita hivi ni matokeo ya ujinga wa maarifa.

Wayahudi na waislam wote hawamjui Yesu. Wananyozidi kuuana wanaongeza idadi ya watu wa jehanam.

Mkristo unatakiwa kuombea amani, na katika amani hiyo hao Wayahudi wasiomjua Yesu na Waislam wakiwemo hamas wasiomjua Yesu waokolewe.

Maana pasipo kumuamini Yesu unakoswa njia ya kuingia mbinguni.

Nimeona kuna ushabiki mkubwa hadi makanisani. Watu badala ya kutembea na bendera ya nchi wanayembea na tubendera twa israel ambao hawamjui Yesu. Kwana hakuna ushahidi kama hao ni waisrael kweli wa kwenye maandiko.

Ni hayo tu.

Ukielewa basi mfahamishe na mwenzako.

View: https://youtu.be/JN00GIgYmwU?si=0p4it_KIdLWMq0IO
 
Ukisema siyo wayahudi wa kweli! Tuonyeshe wayahudi wa kweli, wako nchi gani?
Wayahudi wa Kweli, ni wale wanaompoea Yesu kama Bwana na mwokozi wao.
Hao wakibaiolojia umuhimu wao uliosha baada ya Yesu kufufuka. Hawa tunaowaona waliowaweka hapo ndio wanajua walikowatoa. Hata hivyo hata wakiwa ndio wenyewe, hawana umuhimu wowote kiroho labda kama historical site tu ya kwenda kushangaa mambo ya zamani.
 
Wayahudi wa Kweli, ni wale wanaompoea Yesu kama Bwana na mwokozi wao.
Hao wakibaiolojia umuhimu wao uliosha baada ya Yesu kufufuka. Hawa tunaowaona waliowaweka hapo ndio wanajua walikowatoa. Hata hivyo hata wakiwa ndio wenyewe, hawana umuhimu wowote kiroho labda kama historical site tu ya kwenda kushangaa mambo ya zamani.
Mambo ya kiroho ndo Nini wewe😂yaani wayahudi sio wayahudi Tena... wale watabaki kuwa wayahudi.. Imani yako haijalishi
 
Mbona bado Kuna dhambi? Na dhambi ni Nini? Na why unahitaji uokolewe? Kuokoa ni kumtoa mtu kwenye hatari? Hio hatari ni ipi? Nani kafanya iwe possible? Na kwa Nini huyo huyo ndo anataka atuokoe Tena?🥺huu unafki
 
Yesu sio myahudi.
Maana hakuzaliwa kwa mbegu za kiyahudi ni kwa Roho mtakatifu. Wayahudi ni walezi wake tu.
Kibailojia Yesu sio myahudi.

Mtumishi haelewi kitabu cha ufunuo. Anakitafsiri kimwili.
😴Maria alikuwa mchina kwako au sio
 
😴Maria alikuwa mchina kwako au sio
Yesu aliingia kwa Maria kwa uwezo wa roho mtakatifu. Maria alikuwa kama medium tu ya kutimizia kusudi la Mungu kuzaliwa kupitia mwanadamu. Alipata hiyo heshima ya kubeba hilo jukumu. Maana kulikuwa na mabikra wengi.
Kibailojia bikra hawezi kupata mimba.
 
Mbona bado Kuna dhambi? Na dhambi ni Nini? Na why unahitaji uokolewe? Kuokoa ni kumtoa mtu kwenye hatari? Hio hatari ni ipi? Nani kafanya iwe possible? Na kwa Nini huyo huyo ndo anataka atuokoe Tena?🥺huu unafki
Anaokoa wanaotaka. Mwanadamu ni kiumbe cha hiyari. Haukolewi kwa shuruti, unaokolewa kwa kupenda na kuchagua.
Dhambi ipo maana chanzo kipo kimewekwa hakiba siku sio chache kitateletezwa na wanaokipenda na kuunga mkono hizo juhudi watapotea nacho.
 
Yesu sio myahudi.
Maana hakuzaliwa kwa mbegu za kiyahudi ni kwa Roho mtakatifu. Wayahudi ni walezi wake tu.
Kibailojia Yesu sio myahudi.

Mtumishi haelewi kitabu cha ufunuo. Anakitafsiri kimwili.
Mama yake Yesu ni mwarabu, kwahiyo Yesu ni mwarabu
 
Back
Top Bottom