Mkuchika ni Mzee kuliko wote bungeni na Baraza jipya, kulikoni wadogo zake Lukuvi na Kabudi?

Mkuchika ni Mzee kuliko wote bungeni na Baraza jipya, kulikoni wadogo zake Lukuvi na Kabudi?

Mama anaishi kwa hofu sana.


Kuna mtu anamtaka lazima awe sipika.
 
Mama anaishi kwa hofu sana.


Kuna mtu anamtaka lazima awe sipika.
Ila huyu Rais achunge Sana ulimi wake. Alisema Kuna homa ya urais kuelekea uchaguzi wa 2025 na kudai kuvunja Baraza la Mawaziri. Hapa hakulivunja bali kalifanyia badiliko dogo. Tena kasema humo barazani Kuna Mawaziri wanasuka mpango huo wa urais. Leo Kama vile hizi kauli hakuzitoa. Asituone Watanzania wote WASHENZI kwa kutuletea kauli tata za kuigawa nchi.
 
Nani alikwambia kuwa na mvi ni uzee? Lukuvi akiacha nywele zake hapo ni kama unavyoona Lowassa tu. Mkuchika naonekana mzee kwa vile ahangaiki na rangi za nywele za madukani.
Rais kasema Kabudi na Lukuvi umri umewatupa hivyo kawaondoa ili kuwasimamia Mawaziri vijana.

Mbona Captain mstaafu George Mkuchika ni Mzee kuliko wao lakini kaachwa ktk Baraza jipya?

Hapa Kuna jambo, waerevu watalibaini.
 
Rais kasema Kabudi na Lukuvi umri umewatupa hivyo kawaondoa ili kuwasimamia Mawaziri vijana.

Mbona Captain mstaafu George Mkuchika ni Mzee kuliko wao lakini kaachwa ktk Baraza jipya?

Hapa Kuna jambo, waerevu watalibaini.
Kaachwa kwakuwa ni mgonjwa wanataka afie hapo kazini

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Pale Ikulu kazi pekee ambazo mtu unaweza kupewa pasipo umma kutaarifiwa ni kazi za ndani kama Upishi, Udobi, Ufagiaji, kutengeneza bustani, ulinzi wa getini nk.

Sasa ndio kusema hawa wanaume wazee (Lukuvi, Kabudi) wanakwenda kupewa hizo kazi na yule mama?

Hii ni dharau kubwa sana.
 
Wadhifa wa Uwaziri ni kubwa kuliko kazi wanazoenda kwenda kupewa pale Ikulu. Mbona Mhe. Mkuchika ni Mzee kuliko wote na yeye bado amebaki?. Professa Kabudi, Mhe. Lukuvi were very smart fellows naona kama wangeendelea na uwaziri. Basi kwa kuwa Mamlaka imeamua inabidi tuiunge Mamlaka kwa uamuzi wake.
 
Pale Ikulu kazi pekee ambazo mtu unaweza kupewa pasipo umma kutaarifiwa ni kazi za ndani kama Upishi, Udobi, Ufagiaji, kutengeneza bustani, ulinzi wa getini nk.

Sasa ndio kusema hawa wanaume wazee (Lukuvi, Kabudi) wanakwenda kupewa hizo kazi na yule mama?

Hii ni dharau kubwa sana.
😅😅😅 Samia Leo katuacha hoi asee
 
Rais kasema Kabudi na Lukuvi umri umewatupa hivyo kawaondoa ili kuwasimamia Mawaziri vijana.

Mbona Captain mstaafu George Mkuchika ni Mzee kuliko wao lakini kaachwa ktk Baraza jipya?

Hapa Kuna jambo, waerevu watalibaini.
Hao ndio tishio
 
Ila huyu mzee Mkuchika ni dhahiri ana kitu special.
Marais Kikwete na Magufuli wote walimuweka karibu yao.
Bila shaka Mkuchika ni gwiji la siasa za nchi hii.
 
Back
Top Bottom