Hivi Labda wajuvi wa mambo waje?
Huyo Mkuchika kiumri ni wa kawaida sana ukilinganisha na wengine jwenye Nchi hii...
Kazaliwa 1948
Tunapata Uhuru yeye Bado anassoma tena Shulevya Msingi!
Sasa Kuna ambao tunapata Uhuru wanaanza Kazi...Wameshaajiriwa,wengi tuu...
Kwa Uchache kina Msekwa,Malecela nk nk!
Sada kusema anajua siri za Nchi kivipi?Basi tuu kubebana na Kuoneana Aibu!
Kuna Makatibu wakuu kadhaa tena wa Ikulu Toka Enzi ya Nyerere wengine Enzi ga Mwinyi na Mkapa wapo hao ndio wanajua Siri za Nchi sasa yeye kipi Special?
Kwanini hamuwapi Vijana?
Wazee wametengeneza Vijana wazuru tuu serikalini!
Ni Kama leo Kina
Pascal Mayalla alivyotengenezwa na Kina Prof shivji Kabudi nk.
Kwa Mtu aliezaliwa juzi anaweza Kumuona Mkuchika ndio Mzee kuliko woooote Serikalini au waliokuwepo Serikalini.
Ni Fursa tuu na Kujuana.
Wapo “Wazee” lakini hawajapewa nafasi kama yeye “exposure”
Ni Mfano Kumpa Uwaziriwa Mambo ya Nje Yule mama na Kuamini ana Uzoefu hakuna tena Hakuna Mwenye Uzoefu Kama yeye[emoji51][emoji51]
Ukisema hivyo Hujui Uongozi...Wapo Vijana wazuri tuu tena wazoefu Open minded!
Nanukuu...
Aliwahi sikika Job ndugai akisema wapeni vijana Fursa wale bright wawe mbele kwenye Mikataba,wengine wakae nyuma...
Sema watu wanapeana tuu wanawaacha vijana 40-50 yrs na Kuwachukua hao 70s.