Mkuchika ni Waziri Kazi Maalum, hii ilikuwepo pia enzi za Mwalimu Nyerere

Mkuchika ni Waziri Kazi Maalum, hii ilikuwepo pia enzi za Mwalimu Nyerere

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa

Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa mzee Kawawa

Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri " kiraka"

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani Jafo kapelekwa wapi? Maana Madam President amesema hajamwacha mtu!
 
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa mzee Kawawa

Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri " kiraka"

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Kingunge ngombare Mwiru enzi za JK

Sent from my itel Prime 4 using JamiiForums mobile app
 
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa

Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Kamstahi masna kaishazeeka
 
Huyu mzee si walisema amekata moto, anywy yule mzee anamatch na kila kizazi.
 
Back
Top Bottom