Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwani keshatoka kwenye matibabu?Huyu mzee si walisema amekata moto, anywy yule mzee anamatch na kila kizazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani keshatoka kwenye matibabu?Huyu mzee si walisema amekata moto, anywy yule mzee anamatch na kila kizazi.
Hatoboi ng'ooooNina mashaka kama ataweza kushika wadhifa huu japo hata kwa mwezi mmoja
Jitahidi tupate updates mkuu plsAlirudi na alikuwa dodoma hospital mpaka siku anaagwa jiwe, huyu mzee wa newala alikuwa mahututi kitandani,. Ngoja nipeleleze tena hali yake ikoje
Ngoja kwanza yule afisa kipenyo kumuingia ni mpaka alewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jitahidi tupate updates mkuu pls
Nasikia anapenda sana kitonga na kama ni hivyo mpige za kutosha aanze kufunguka turboNgoja kwanza yule afisa kipenyo kumuingia ni mpaka alewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muone vile....Nasikia anapenda sana kitonga na kama ni hivyo mpige za kutosha aanze kufunguka turbo
Muulize aliyemteua!Amesha rudi kutoka India?
Kuna nini chadema cha kudokoa? kila kitu anasimamia mswati!Tuanze kwa wenye akili siyo huyo chumia tumbo aliyefukuzwa kutoka cdm kwa udokozi
Nikuulize wewe mpiga zumari wake labda utakuwa unajuaMuulize aliyemteua!
Unazungumzia cdm ipi labda?Kuna nini chadema cha kudokoa? kila kitu anasimamia mswati!
Naona umefura kwa mihasiraKuna nini chadema cha kudokoa? kila kitu anasimamia mswati!
WakatI wa JK alikuwa Kingunge pia Kahama kama sijakosea.Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Mwandosiya
Ukiacha awamu ya kwanza na ya nne, miaka yote yule rais wa kule akija huku anakuwa nani?Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Bundle tayari lishakata kudadadeekiKuna nini chadema cha kudokoa? kila kitu anasimamia mswati!
minister without portfolioWakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Hiyo saccos vikoba!Unazungumzia cdm ipi labda?
Ndio amemuwacha chairman mswati wodini!Nikuulize wewe mpiga zumari wake labda utakuwa unajua
Kwa lipi sasa!Naona umefura kwa mihasira