Mkude Simba SC imetosha, tafuta changamoto sehemu nyingine

Ninacho sisitiza ni Kamati ya saa sabininambili ichukue hatua za kinidhamu dhidi ya Chama Kwa tukio la (unsports man faul) dhidi ya Aucho. Kama alivyo fanyiwa Morrison hatutegemei tukio kama Lile lisichukuliwe hatua Kwa muda husika.
 
Wewe sio mfuatiliaji wa mechi za simba toka Mgunda akabidhiwe timu
Mzamiru ni kiungo asiye na faida ni vile tu Tanzania hatuna match analyst mechi ya kigoma ya ngao ya jamii ile ya kigoma alikaba akapata mpira halafu akapiga pasi fyongo akampa feisal na ndo lilikuwa goli pekee kwenye mechi ile kama kiungo anapokonya mipira halafu anapiga pasi fyongo sasa ana faida gani kwenye team mkude na mzamiru ni mbingu na ardhi ndo maana wanamwita kiungo punda.
 
Unamuongelea mzamiru wa zamani...the guy toka mgunda achukue timu amebadilika sana labda kama hufuatilii mechi za simba
 
mkude hawezi kuishi na kufanya akzi nje ya simba
IVI WALISHAMPIMA AKILI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…