God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Naomba uongozi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy muanze kumtazama lecturer Anayeitwa Majura anayefundisha masomo ya kiswahili.
Lecturer huyu hana maadili ya ualimu ni mbabe , anatumia hasira na kiburi katika kuwahudumia wanafunzi na kuwatisha.
Chuo cha Mwalimu Nyerere memorial Academy kampasi ya Kivukoni kimekuwa kikijipatia sifa ya maadili kwa miaka mingi Ila hivi karibuni kimeanza kuchafuliwa na lectures wachache Kama Majura ,Chipanda na Mwakaronge.
Naomba mkuu wa chuo Mwakalila aingilie kati na kutazama hili suala. Na anabidi kujua wanafunzi ndo mabalozi wenu hivyo mkiwanyanyasa msitegemee kupata idadi kubwa ya wanafunzi tena maana hii miaka mitatu kuanzia 2021 mmekuwa mkiharibu chuo chenu wenyewe.
Majura ,anasumbuliwa zaidi na Ego inamtesa .
Nb kusoma kunahitaji mahusino mazuri baina ya wanafunzi na walimu wao hata
Hao lectures wengine baada ya kuripotiwa Jamiiforum wamepelekwa Zanzibar.
Nawasilisha.
Lecturer huyu hana maadili ya ualimu ni mbabe , anatumia hasira na kiburi katika kuwahudumia wanafunzi na kuwatisha.
Chuo cha Mwalimu Nyerere memorial Academy kampasi ya Kivukoni kimekuwa kikijipatia sifa ya maadili kwa miaka mingi Ila hivi karibuni kimeanza kuchafuliwa na lectures wachache Kama Majura ,Chipanda na Mwakaronge.
Naomba mkuu wa chuo Mwakalila aingilie kati na kutazama hili suala. Na anabidi kujua wanafunzi ndo mabalozi wenu hivyo mkiwanyanyasa msitegemee kupata idadi kubwa ya wanafunzi tena maana hii miaka mitatu kuanzia 2021 mmekuwa mkiharibu chuo chenu wenyewe.
Majura ,anasumbuliwa zaidi na Ego inamtesa .
Nb kusoma kunahitaji mahusino mazuri baina ya wanafunzi na walimu wao hata
Hao lectures wengine baada ya kuripotiwa Jamiiforum wamepelekwa Zanzibar.
Nawasilisha.