Mkufunzi anayeitwa Majura anaenda kukiharibu chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy

Mkufunzi anayeitwa Majura anaenda kukiharibu chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy

Yaan akili yako ni ndogo sana mkuu na ww ndio wale ambao hujihisi ni bora kuliko wengine....neno tegemeeni kupata idadi ndogo ya wanafunzi ni shutuma ya ulofa...serikali ilishawahi futa baadhi ya vyuo hapa Tanzania na kila mwanachuo ajue atapopata chuo kingine..sasa wewe mmoja tu ni nani hapo Mwalimu Nyerere...? Mfano ukatoka hapo chuo kitakufa? Unajua kilianza na wanafunz wangapi?
Mimi nimeajiriwa hapa chuoni sio Mwanafunzi waswahili unajua huwa hamna maono ya kuwaza mbali Mbona hao lectures wengine wamehamishwa baada ya kuripotiwa JF
 
The guy is too arrogant and stubborn

Ebu fikiria anatunga mtihani kuandika sifa za sentensi then anasema wamefeli mtihani Kama huo

Mm nimeajiriwa hapa chuoni Ila nimeamua kuwatetea wanafunzi maana nafanya Kazi chuoni hapa


Na chuo kimeanza kukosa wanafunzi sasa Kama unavyojua waswahili huwa hatuna vision ya kutazama side effects za ujinga wa MTU huwezi ukawa mkubwa kuizidi taasisi hiyo haiwezekani .
We misomisondooo wewe........
 
The guy is too arrogant and stubborn

Ebu fikiria anatunga mtihani kuandika sifa za sentensi then anasema wamefeli mtihani Kama huo

Mm nimeajiriwa hapa chuoni Ila nimeamua kuwatetea wanafunzi maana nafanya Kazi chuoni hapa


Na chuo kimeanza kukosa wanafunzi sasa Kama unavyojua waswahili huwa hatuna vision ya kutazama side effects za ujinga wa MTU huwezi ukawa mkubwa kuizidi taasisi hiyo haiwezekani .
Acha ushamba chuo kikose wanafunzi wanakimbia kwa semister 1 Au. Chuo hakifi kaka mtaletwa hata kwa lazima hapo .
 
The guy is too arrogant and stubborn

Ebu fikiria anatunga mtihani kuandika sifa za sentensi then anasema wamefeli mtihani Kama huo

Mm nimeajiriwa hapa chuoni Ila nimeamua kuwatetea wanafunzi maana nafanya Kazi chuoni hapa


Na chuo kimeanza kukosa wanafunzi sasa Kama unavyojua waswahili huwa hatuna vision ya kutazama side effects za ujinga wa MTU huwezi ukawa mkubwa kuizidi taasisi hiyo haiwezekani .
Wewe ni mwanafunzi na kwa Hilo swali ashajua ni Mwaka wa ngapi awafelishe vizuri.

Yaan unajichanganyaaaa.
 
Waweza kuta aloleta uzi huu ni rafiki wa karibu sana na Mr Majura.
Walikuwa wamekaa mahali wanapata pepsi baaaridiii, stori moja mbili tatu. Mr Majura akaanza elezea strategy zake za kufundisha na mengineyoo ...... hadi zikafika apa JF
 
1: Umefanya kosa kumtaja Majura kwenye kichwa cha habari halafu ndani Kuna wengine.Dhahiri weweuna jambo binafsi na Mwl. Majura na sio bure.
2: Isitoshe haujaonyesha kosa la huyo Majura na wenzake hadi mwisho wa maelezo yako, umeandika kwa hisia zaidi kuliko facts.
3: Nina mashaka umetumwa hata na management ya chuo kwani pamoja na kuwasilisha ujinga wako umetoa maelekezo wapelekwe wapi.
Kundi la vijana wengi sasa hivi wana tabia kama za kishoga/malaya kutwa kulia lia na kutaka mserereko wa maisha.Vijana badilikeni halafu mkaze maisha sio lele mama.Mifumo iendele kufanya uchunguzi wa kina kwa huu ujinga na hata mtoa taarifa achukuliwe hatua ikibidi kwani masanduku ya kutoa maoni yapo kwanini aje huku aanze kuchafua watu tena kwa kuwataja majina.
 
Mimi nimeajiriwa hapa chuoni sio Mwanafunzi waswahili unajua huwa hamna maono ya kuwaza mbali Mbona hao lectures wengine wamehamishwa baada ya kuripotiwa JF
Tunafaham vigezo vya kuwa lectures mavyuoni huko..shida ya ninyi waajiriwa tena haswa wa serikalini majungu, fitna, ubabe.. kujiona...aisee..kuna walio bora kuliko ninyi mnao chezea kodi za wananchi kizembe..Mabeyo amewaambia jana
 
Naomba uongozi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy muanze kumtazama lecturer Anayeitwa Majura anayefundisha masomo ya kiswahili.


Lecturer huyu hana maadili ya ualimu ni mbabe , anatumia hasira na kiburi katika kuwahudumia wanafunzi na kuwatisha.


Chuo cha Mwalimu Nyerere memorial Academy kampasi ya Kivukoni kimekuwa kikijipatia sifa ya maadili kwa miaka mingi Ila hivi karibuni kimeanza kuchafuliwa na lectures wachache Kama Majura ,Chipanda na Mwakaronge.



Naomba mkuu wa chuo Mwakalila aingilie kati na kutazama hili swala
Na anabidi kujua wanafunzi ndo mabalozi wenu hivyo mkiwanyanyasa msitegemee kupata idadi kubwa ya wanafunzi tena maana hii miaka mitatu kuanzia 2021 mmekuwa mkiharibu chuo chenu wenyewe.


Majura ,anasumbuliwa zaidi na Ego inamtesa .

Nb kusoma kunahitaji mahusino mazuri baina ya wanafunzi na walimu wao hata

Hao lectures wengine baada ya kuripotiwa Jamiiforum wamepelekwa Zanzibar.

Nawasilisha.
HADI SASA HIVI HUJASEMA KOSA LAKE NI NINI,ACHENI HUU UPUMBAVU WA KUCHAFUANA HADHARANI.

UNATAKA LECTURER WA CHUO AWE NA MAADILI YA UALIMU APELEKE WAPI?

HUU NI UJINGA MTUPU.
 
Mimi nimeajiriwa hapa chuoni sio Mwanafunzi waswahili unajua huwa hamna maono ya kuwaza mbali Mbona hao lectures wengine wamehamishwa baada ya kuripotiwa JF
Hakuna kitu kama hicho , Mimi sehemu zote ambazo huwa nafanya kazi hata nikikuta Mlinzi ananyanyaswa lazima niseme
Watu wa aina yako huwa wana tabia ya unafiki, majungu, undumilakuwili, kujipendekeza, uchawi, roho mbaya, ubinafsi, umbea, kiherehere, usnitch, nk. Binafsi siwezi kufanya kazi mahali popote pale na watu wa aina yako!
 
Mimi kama majura
Ukitaka kunichoma fuata utaratibu na si kiandika Jamii forums

Unavyosema hatutapata wanafunzi tena chuoni hapo nimeona kama unataka nifaulishe wanafunzi ambao hawapo compitent

Ila ndio life skills, katika safari ya maisha utakutana na watu kama mimi
Hakuna kulia lia kama mtoto
Kaza msuli
😁
We majura kama ni mbabe lete huku mitaani acha kusumbua wadogo zetu wa some. Kama kazi imekushinda kaanzishe CHUO chako huko kijijini kwenu.
 
Wanafunzi someni acheni upumbavu. Kozi ya kiswahili unalia je ingekuwa computer engineering?
 
Back
Top Bottom