God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
- Thread starter
-
- #21
Mimi nimeajiriwa hapa chuoni sio Mwanafunzi waswahili unajua huwa hamna maono ya kuwaza mbali Mbona hao lectures wengine wamehamishwa baada ya kuripotiwa JFYaan akili yako ni ndogo sana mkuu na ww ndio wale ambao hujihisi ni bora kuliko wengine....neno tegemeeni kupata idadi ndogo ya wanafunzi ni shutuma ya ulofa...serikali ilishawahi futa baadhi ya vyuo hapa Tanzania na kila mwanachuo ajue atapopata chuo kingine..sasa wewe mmoja tu ni nani hapo Mwalimu Nyerere...? Mfano ukatoka hapo chuo kitakufa? Unajua kilianza na wanafunz wangapi?
Hamna tatizo this is JFToo late, labda uifute uanze upya.
We misomisondooo wewe........The guy is too arrogant and stubborn
Ebu fikiria anatunga mtihani kuandika sifa za sentensi then anasema wamefeli mtihani Kama huo
Mm nimeajiriwa hapa chuoni Ila nimeamua kuwatetea wanafunzi maana nafanya Kazi chuoni hapa
Na chuo kimeanza kukosa wanafunzi sasa Kama unavyojua waswahili huwa hatuna vision ya kutazama side effects za ujinga wa MTU huwezi ukawa mkubwa kuizidi taasisi hiyo haiwezekani .
Acha ushamba chuo kikose wanafunzi wanakimbia kwa semister 1 Au. Chuo hakifi kaka mtaletwa hata kwa lazima hapo .The guy is too arrogant and stubborn
Ebu fikiria anatunga mtihani kuandika sifa za sentensi then anasema wamefeli mtihani Kama huo
Mm nimeajiriwa hapa chuoni Ila nimeamua kuwatetea wanafunzi maana nafanya Kazi chuoni hapa
Na chuo kimeanza kukosa wanafunzi sasa Kama unavyojua waswahili huwa hatuna vision ya kutazama side effects za ujinga wa MTU huwezi ukawa mkubwa kuizidi taasisi hiyo haiwezekani .
Wewe ni mwanafunzi na kwa Hilo swali ashajua ni Mwaka wa ngapi awafelishe vizuri.The guy is too arrogant and stubborn
Ebu fikiria anatunga mtihani kuandika sifa za sentensi then anasema wamefeli mtihani Kama huo
Mm nimeajiriwa hapa chuoni Ila nimeamua kuwatetea wanafunzi maana nafanya Kazi chuoni hapa
Na chuo kimeanza kukosa wanafunzi sasa Kama unavyojua waswahili huwa hatuna vision ya kutazama side effects za ujinga wa MTU huwezi ukawa mkubwa kuizidi taasisi hiyo haiwezekani .
Wewe ni mwanafunzi na kwa Hilo swali ashajua ni Mwaka wa ngapi awafelishe vizuri.
Yaan unajichanganyaaaa.
Tunafaham vigezo vya kuwa lectures mavyuoni huko..shida ya ninyi waajiriwa tena haswa wa serikalini majungu, fitna, ubabe.. kujiona...aisee..kuna walio bora kuliko ninyi mnao chezea kodi za wananchi kizembe..Mabeyo amewaambia janaMimi nimeajiriwa hapa chuoni sio Mwanafunzi waswahili unajua huwa hamna maono ya kuwaza mbali Mbona hao lectures wengine wamehamishwa baada ya kuripotiwa JF
HADI SASA HIVI HUJASEMA KOSA LAKE NI NINI,ACHENI HUU UPUMBAVU WA KUCHAFUANA HADHARANI.Naomba uongozi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy muanze kumtazama lecturer Anayeitwa Majura anayefundisha masomo ya kiswahili.
Lecturer huyu hana maadili ya ualimu ni mbabe , anatumia hasira na kiburi katika kuwahudumia wanafunzi na kuwatisha.
Chuo cha Mwalimu Nyerere memorial Academy kampasi ya Kivukoni kimekuwa kikijipatia sifa ya maadili kwa miaka mingi Ila hivi karibuni kimeanza kuchafuliwa na lectures wachache Kama Majura ,Chipanda na Mwakaronge.
Naomba mkuu wa chuo Mwakalila aingilie kati na kutazama hili swala
Na anabidi kujua wanafunzi ndo mabalozi wenu hivyo mkiwanyanyasa msitegemee kupata idadi kubwa ya wanafunzi tena maana hii miaka mitatu kuanzia 2021 mmekuwa mkiharibu chuo chenu wenyewe.
Majura ,anasumbuliwa zaidi na Ego inamtesa .
Nb kusoma kunahitaji mahusino mazuri baina ya wanafunzi na walimu wao hata
Hao lectures wengine baada ya kuripotiwa Jamiiforum wamepelekwa Zanzibar.
Nawasilisha.
Mimi nimeajiriwa hapa chuoni sio Mwanafunzi waswahili unajua huwa hamna maono ya kuwaza mbali Mbona hao lectures wengine wamehamishwa baada ya kuripotiwa JF
Watu wa aina yako huwa wana tabia ya unafiki, majungu, undumilakuwili, kujipendekeza, uchawi, roho mbaya, ubinafsi, umbea, kiherehere, usnitch, nk. Binafsi siwezi kufanya kazi mahali popote pale na watu wa aina yako!Hakuna kitu kama hicho , Mimi sehemu zote ambazo huwa nafanya kazi hata nikikuta Mlinzi ananyanyaswa lazima niseme
Kama wewe sio Majura basi wewe ndio mpumbavu zaidi ya mleta mada.We mpumbavu badala ya kujisomea unakuja kutafuta sympathy JF? JF haiwezi kukusahihishia mtihani kamwe.
Pia suala la wanafunzi kutokwenda kusoma hicho chuo kwa nini linakupa wewe uchungu? Kwani chuo mali yako wewe? Acheni uzembe vijana
Lecturer kashasomaModerator naomba huu Uzi uwekwe katika mfumo wa unknown. Asante.
We majura kama ni mbabe lete huku mitaani acha kusumbua wadogo zetu wa some. Kama kazi imekushinda kaanzishe CHUO chako huko kijijini kwenu.Mimi kama majura
Ukitaka kunichoma fuata utaratibu na si kiandika Jamii forums
Unavyosema hatutapata wanafunzi tena chuoni hapo nimeona kama unataka nifaulishe wanafunzi ambao hawapo compitent
Ila ndio life skills, katika safari ya maisha utakutana na watu kama mimi
Hakuna kulia lia kama mtoto
Kaza msuli
😁