Mkufunzi anayeitwa Majura anaenda kukiharibu chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy

Hivi kama mtu uko bize na shule na kujisomea unakutana na lecture wapi yani?
Vijana kama umeenda kusoma kazana na shule,lecture kutaneni kwenye test na lecture sio mishe za kwenda kudai course work
 
Mm nilidhani huyo Majura anadinya wanafunzi kwa nguvu,kumbe ni mambo mengine.
Kama analeta umalaya wake sema tu,tumuoneshe kazi yake.
 
Waweza kuta aloleta uzi huu ni rafiki wa karibu sana na Mr Majura.
Walikuwa wamekaa mahali wanapata pepsi baaaridiii, stori moja mbili tatu. Mr Majura akaanza elezea strategy zake za kufundisha na mengineyoo ...... hadi zikafika apa JF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mashoga wanahusika vipi hapa? Mashoga waliopita shule wengi wao wanajitegemea na kujimudu wenyewe wawapo masomonii.

Acheni kuwatulia kila zigo, khaaaah
 
Hivi kama mtu uko bize na shule na kujisomea unakutana na lecture wapi yani?
Vijana kama umeenda kusoma kazana na shule,lecture kutaneni kwenye test na lecture sio mishe za kwenda kudai course work
Ukweli mchunguu huu.
 

Dogo umeyavagaa. Umekutana na wazazi wakoloni. Utajuta kuleta ujinga wako huku. Nenda kasome usije kulia lia JF kila siku
 
Huyo Mimi ni Mwalimu wangu alinifundisha hapo Mwalimu Nyerere. kati ya 2013-2016

Hivyo namjua Vizuri.

Ni mpenda kusoma vitabu kwa Sana.

Hata uwe na urafiki naye ila kwenye Mitihani hakupi maks za Bure.

Na ukidesa mahali atakuumbua tu.

Ili uweze kufaulu Somo lake, Agana na uzembe na uvivu wa kusoma ili uende nae sambamba.

Maksi za mezani hakupi ng'oo😄

Kiufupi ni Mlokole,

Hana upendeleo,Amenyooka zaidi ya rula. Ila Mimi namsifu alinifanya nishinde library kubukua ili niende nae sambamba 😄
 
Ila kwa ninavyomjua Dr. Majura ,Ni mtu wa watu

Nafasi yangu inanishuhudia wewe utakuwa ulitaka maksi za mezani. Ma yule ni Mlokole ni MGUMU haswa maksi za upendeleo huwa hatoagi kabisa .

Hao wengine ulowataja siwajui hawakuwahi kunifundisha hivyo siwafahamu.

Ila habari yako haijakaa sawa,

Pengine ungeweka wazi Nini shida yake?
 
Watoto wa siku hizi bure kabisa kichwani, nakumbuka Mlimani tulibanwa sana enzi za mwalim, madingi wababe walikuwepo , wengine wakijisifia sana elimu zao, wazee wengine wakivaa hadi cheni darasani na ni profesa ila hakuna denti aliejali , pepa zingine hazifanyiki jiwe haswa SUP za kumwaga zaidi ya nusu darasa ila hakuna mwanachuo wa mlimani hata mmoja alienda nje kushitaki, kila mmoja alipigana vita yake na SUP yake!!

Hiki kizazi cha leo bure kabisa, vilazs kibao!!

Someni vijana kazeni msuli kulia lia hakuna faida yoyote kitaaluma zaidi ya kuhalalisha ukilaza!

Chuo kiongeze ma-lecturers wengi kama Majura ili kuongeza ubora wa elimu inaonesha somo la majura watoto hawapati nafasi ya kutumia vibuti wamebanwa wanasoma kwa bidii sababu wanamuogopa sana Majura si mchezo , go go Majura kazi yako imeonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…