Mkulima mbaroni kwa kumvunjia heshima Rais Samia na Dkt. Kikwete mtandaoni

Kama shahidi ni jamhuri AMEKWISHA
 
Kama shahidi ni jamhuri AMEKWISHA
 
Nadhani ile ilikuwa kama kibonzo tu,kweli serikali inaacha kushughulika na mambo ya msingi kama mfumuko wa bei,ukosefu wa maji na umeme nk,haya mambo mengine ni kuzidi kupoteza rasilimali za serikali tu
 
Niliiogopa ile video kama ukoma.

Nilivooneshwa tu nikajua lazima kuna jitu laenda nyea debe.

Watu hawajifunzi tu aisee.

Ila kavideo kanachekesha sana aisee, mama anachezesha mpaka nyusi kusikilizia mdundo.
 
ACHAPWE VIBOKO 30 KILA WIKI DOZI YA MIEZI 3.
Itamtosha sana.
Viboko vya kiasikari 480 tosha kabisa.
 
Hawa vijana wahuni wanaotumika wakihukumiwa wapelekwe mashambani huko JKT mbona watanyooka badala ya kuwarundika magerezani wanakuka bure..

Binafsi sikubaliani na mtizamo wa Rais Samia wa kuwakataza magereza na JKT kujishughulisha na Mambo ya uzalishaji Mali kwa kisinhizio eti wanaacha jukumu lao la msingi.
 
Angalia emoji Zina display hakuna userious kwenye andiko.
 
Huyu sijui atakuwa mtu wa ngapi kufikishwa mahakamani kwa tuhuma kama hizi!!!!

Hivi shida ni nini; ni sisi wananchi, mamlaka au sheria?
 
Ujue kofuri aliharibu uwezo wa watanzania wa kufikiri? Huyu kijana ana tofauti gani na wachora katuni? Mbona JK alitaniwa sana na haikuwa ishu? Ujing mtupu hawa viongozi wa awamu hizi na nyota mnaoungana nao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…