Mkulima mbaroni kwa kumvunjia heshima Rais Samia na Dkt. Kikwete mtandaoni

Kosa hili kumbe halidhaminiki.

Tuendelee kudai katiba mpya kabla hatujashtakiwa wote
 
Hehehe dah
 
Hiyo video niliziona whatsup ziki sambaaa kama memes .maskini mkulima wa watu sijui kwa nini yeye
 
anatakiwa afundishwe adabu huko huko gerezaani , ili akitoka ajue kuwa heshima ni kitu cha bure.

natumai akitoka atakuwa anasalimia Kwa kuchuchumaa.
 
Asante !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…