Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,164
- 3,553
Msigwa anadhani kiwanda kinajengwa wiki mbili tatu, aende jimboni kwake aulize kili kiwanda cha chill sauce..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye NB: Hayo maneno yangekuwa sahihi kama haya yangetokea kwenye administration iliyomuweka...kumbuka huu ni utawala tofauti, unaojaribu kuwekeza nishati yake yote kwa watu wa chini na wanyonge...ukitaka kugombana na administration ya awamu ya 5, jaribu kuonea wanyonge na masikini.
WATANZANIA WANASHANGA CHURA WANAVYORUKARUKA NA KUTOKA KWENYE MATOPEYeeees, vituko vinazidi, watu wanazidi kucheka, umewafurahisha sana, hasa kwa namna ulivyoitoa 'ongera', umedhihirisha wewe ni mahiri katika uvumbuzi wa mambo mapya. Kaza buti usichoke
Hata Chura anaporuka ruka wapoKaza Buti Mkuu Mwanahabari huru Tupo pamoja Usichoke kutujurisha Wenye Majungu na Roho Mbaya hawapo JF tu ata Ktaa chetu wapo
Jina langu linajitambulishaComrade Mwanahabari Hurukwani wewe taaluma yako ni ipi?
Acha kutishia watu, kama una habari tofauti itoe, mambo ya kuleta vitisho hayafaiMnnhh! Mwanahabarihuru labda inawezekana leo ukawa umeandikwa ukweli eennh? Ngoja nifanye uchunguzi. Nawasihi na wanabodi wengine wawe waangalifu sana na chochote uandikacho
Katika mijitu mijinga, wewe ndio unakuwaga wa mwisho wao kabisa.mimi namuamini sana Mwanahabari kama huna imani naye wewe ni jecha kambadilishe.buku 7 wewe
swissme
Uwezowako mdogo sana..unadhani kwavile awamu zote zilizopita zilikuwa chini ya CCM basi inamaanisha hata style ya utawala zitafanana...au unataka kutuaminisha kuwa utawala wa Nyerere ulikuwa sawa na utawala wa Kikwete?KUmbe setrekali iliyopita ni ya CCM na hii ni ya MAGUFULI?
kwlei Akili ndogo kuongoz aAkili kubwa!
hili swala linas emwa kila siku kuw awatu wnatumika kuiteeta CCM kw agharama kubw ana mwisho wa siku wana tupwa!
Katika mijitu mijinga, wewe ndio unakuwaga wa mwisho wao kabisa.
Ndio hivyo tena mkurugenzi kuwa toilet paper mdaa si mrefuMagufuri na kafulila hawana colleration yeyote.
Alikua kigoma baada ya kuiba kura za kafurila akasmishiwa babati.Kwan alikuwa in mkurugenzi wa wapi?
Usitishe taluma ya mtu weweMnnhh! Mwanahabarihuru labda inawezekana leo ukawa umeandikwa ukweli eennh? Ngoja nifanye uchunguzi. Nawasihi na wanabodi wengine wawe waangalifu sana na chochote uandikacho
Usitishe taluma ya mtu weweMnnhh! Mwanahabarihuru labda inawezekana leo ukawa umeandikwa ukweli eennh? Ngoja nifanye uchunguzi. Nawasihi na wanabodi wengine wawe waangalifu sana na chochote uandikacho