mickie mouse
Member
- Jan 18, 2016
- 16
- 5
Nan aliyemwamisha ss uyo mkurugenzi kutoka uvinza adi babati,akita yy aliaribu wakat wa uchaguz,au maguful ndo aliyemwamisha...!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitishe taluma ya mtu wewe
Chura ni shida sanaduh basis hii ni hatarii sana, HVO pale kigoma anatetea nn sasa kupeleka ushahidi mahakaman.
Povu chura povu lakurukaruka chura jamani ChuraWenye taaluma huwa hawajisemi, makanjanja ndio kelele kibao! Taaluma inajionesha na kujulikana dhahiri tofauti kabisa na 'Wannabe'
Hivi ule ugonjwa aina ya Jecha bado haujatumbuliwa tu?mimi namuamini sana Mwanahabari kama huna imani naye wewe ni jecha kambadilishe.buku 7 wewe
swissme
Mkuu Mambo ya T.PNan aliyemwamisha ss uyo mkurugenzi kutoka uvinza adi babati,akita yy aliaribu wakat wa uchaguz,au maguful ndo aliyemwamisha...!?
Mkuu unajua hawa chura hawapendi kusikia zinazowachoma wao wanapenda zinazowapoza tumimi namuamini sana Mwanahabari kama huna imani naye wewe ni jecha kambadilishe.buku 7 wewe
swissme
UTAHAHA SANA CHADOMO wewe! SHOLO MWAMBA anakuita!Rais JPM May05 katika mkutano wake na wananchi mjini BABATI ambapo alipokea na kusikiliza Kero za wananchi aliwahakikishia kuwa Mkurugenzi huyo Reuben Mfune kwasasa Ana kesi huko Uvinza, amalize kesi huko na huku ukurugenzi ndio basi.
N:B Hii Ndio ile Toilet Paper tuisemayo tumika ukimaliza unaflashiwa
hahahaha machurachura yakishi a huwa yanalala tumbo juu yanahema aiaiaiaiai hahahaha.Mkuu unajua hawa chura hawapendi kusikia zinazowachoma wao wanapenda zinazowapoza tu
Chura baada ya kurukaruka whats nextUTAHAHA SANA CHADOMO wewe! SHOLO MWAMBA anakuita!
Kushughulikia MABEIBE!Chura baada ya kurukaruka whats next
Nakurukaruka kutoka matopeniKushughulikia MABEIBE!
Nakurukaruka kutoka matopeniKushughulikia MABEIBE!
Huyu ndiye mwanahabarihuru, muandishi wa habari mweledi na kada mahiri katika chama chake si ajabu siku moja chama chake kikishika Dola anaweza kuwa msemaji wa chama au waziri wa habari wa nchi hii. Vijana wasomi, weledi na wenye mawazo mazuri kama haya inahitajika sasa wafikiriwe kupewa nafasi ili kuvikuza vipaji vyao kwa minajili ya kuwajenga kuwa viongozi mahiri wa baadae. Bravo Mwanahabarihuru!