Tetesi: Mkurugenzi Aliyepora Ushindi wa Kafulila Kutumbuliwa na Magufuli

Nan aliyemwamisha ss uyo mkurugenzi kutoka uvinza adi babati,akita yy aliaribu wakat wa uchaguz,au maguful ndo aliyemwamisha...!?
 
mbuzi kafia kwa muuza supu,kile kiburi chote kitakua kimeisha sasa atajibu maswali ya jaji vizur
 
M/habari huru
Heshima kwako. Naomba ufafanuzi wa mambo 2. Kwanza je kwenye mkutano huo wakazi wa Babati walitoa malalamiko juu ya Mkurugenzi huyo? Pili, kama Raisi alitoa tamko la kumwajibisha Mkurugenzi slitumia kigezo hicho cha kesi ya Uvinza tuu?
 
M/habari huru
Heshima kwako. Naomba ufafanuzi wa mambo 2. Kwanza je kwenye mkutano huo wakazi wa Babati walitoa malalamiko juu ya Mkurugenzi huyo? Pili, kama Raisi alitoa tamko la kumwajibisha Mkurugenzi slitumia kigezo hicho cha kesi ya Uvinza tuu?
 
UTAHAHA SANA CHADOMO wewe! SHOLO MWAMBA anakuita!
 

chura unanesanesa
 
Ndiiindiiiii ndiindiiiii tumeitakaaa wenyewee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…