Povu chura povu lakurukaruka chura jamani Chura
chura unanesanesa
Rais JPM jana May05 katika mkutano wake na wananchi mjini BABATI ambapo alipokea na kusikiliza Kero za wananchi aliwahakikishia kuwa Mkurugenzi huyo Reuben Mfune kwasasa Ana kesi huko Uvinza, amalize kesi huko na huku ukurugenzi ndio basi.
Ndo ajue upuuzi wa kutetea ujinga
Hawa watu humu hua hawakomi aseeeNaomba hili liwakute majuha wote wa jf wanaopiga makofi yakushangilia huku ndugu zao wengi wanakufa kwa kukosa huduma za afya!. Unafiki ni tabia ya shetani na karama ya shetuani ni mikasa. Wayaone wao wenyewe.
Hawamu= awamu!Tusidanganyane hivi utawala wakumfukuza mtu kazi bila kufuata maadili ya kazi ndio utawala huu wa hawamu ya Tano?
Namkumbuka Madiga alisimamia ukweli....Rais JPM May05 katika mkutano wake na wananchi mjini BABATI ambapo alipokea na kusikiliza Kero za wananchi aliwahakikishia kuwa Mkurugenzi huyo Reuben Mfune kwasasa Ana kesi huko Uvinza, amalize kesi huko na huku ukurugenzi ndio basi.
N:B Hii Ndio ile Toilet Paper tuisemayo tumika ukimaliza unaflashiwa
Aaaak kabisa,sifa ya chura ni kunesanesa,kwani Mungukaumba kila kiumbe na sifa zake, je sifa ya bata nayo waijua ndugu yangu?
HIYO NI KAZI YA KAMBARE WENYE MASHARUBU! Refer to comments za DUNI HAJI DUNI alipokimbia rasmi GENGE la wapiga DILI!Nakurukaruka kutoka matopeni