Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji

Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji

Hivyo baadhi ya wanaume mmeona tu suala la mkewe kusema ukweli, ila suala la tuhuma za ubakaji kwa huyo binti mdogo ni sawa na hamjaliona kabisa..!?

Nadhani angekuwa ni binti wa mmoja wenu, at least you could've felt the pain, kuweni na huruma kwa watoto..
 
Hivyo baadhi ya wanaume mmeona tu suala la mkewe kusema ukweli, ila suala la tuhuma za ubakaji kwa huyo binti mdogo ni sawa na hamjaliona kabisa..!?

Nadhani angekuwa ni binti wa mmoja wenu, at least you could've felt the pain, kuweni na huruma kwa watoto..
Kwakuwa hatuna akili za kushikiwa, tunakiona Kile ambacho wewe huwezi kukiona.
 
Hivyo baadhi ya wanaume mmeona tu suala la mkewe kusema ukweli, ila suala la tuhuma za ubakaji kwa huyo binti mdogo ni sawa na hamjaliona kabisa..!?

Nadhani angekuwa ni binti wa mmoja wenu, at least you could've felt the pain, kuweni na huruma kwa watoto..
Walisema ana Miaka 16 sasa imeongezeka ana Miaka 18, Mtoto kwa mujibu wa Sheria ni marufuku kufanya kazi za Nyumbani km muajiriwa Sheria ya Mtoto inakataza ndio maana wakasogeza umri mbele, kwa hio miaka 18 ni Mtoto?

Dkt. Gwajima D alipiga marufuku watoto kechezeshwa dance usiku unakumbuka?
 
Mkuu hatujafikia hatua hii. Unadhani kila mtu analiwa na boda boda? Yaani umepanic vibaya sana. Halafu sijakuquote kwenye uzi huu kiasi cha kuanza kutoa kashfa kwa mtu usiyemfahamu. Take a chill pill
Kwahiyo mke wewe uko tayari kuangamiza familia yako Kwa excuse hii.

Ziko njiani nyingi za kuliweka hili Sawa, kwahiyo Mume akienda jela wewe ndio furaha?

Huyo Bodaboda anayekupanuwa atawalipia school fees wanao?
 
Shida ipo kwa mke wake. Mambo ya nyumbani yaishe nyumban tu. Wanawake wanatakiwa kuwa na Siri. Siri za ndani ziishie ndani. Jamaa akifungwa mke hakuna faida yoyote anapata
Ndo ishatokea sasa, usikute alishamuonya na kuvumilia sana lakini mwamba akawa anaendelea kisirisiri mpaka mkewe alipokuja kugundua tena
 
Mkuu hatujafikia hatua hii. Unadhani kila mtu analiwa na boda boda? Yaani umepanic vibaya sana. Halafu sijakuquote kwenye uzi huu kiasi cha kuadha kutoa kashfa kwa mtu usiyemfahamu. Take a chill pill
Amesema unapanuliwa na bodaboda kweli au SIO kweli?
 
Mwanamke mjinga huyu,sasa atakula nini,kafanya maamuzi akiwa na hasira ila baada ya hasira kumuisha atajuta sana.
NAONA NI MAPEMA SANA KUMLAUMU MWANAMKE.
HATUJASIKIA YA UPANDE WAKE.

SAWA TUSEME YEYE HANA SIRI, HAJAFANYA MAAMUZI YA AKILI-.
LAKINI TUKIO LILIFIKA KWA POLISI NA WALITAKA KUZIMA JUU KWA JUU.
JE NAO HAWANA SIRI? HAWANA AKILI?
PENGINE JAMAA NI UTAMADUNI WAKE, NA SASA AROBAINI YAKE IMEFIKA.

KATOKA KWENYE MWEZI MTUKUFU, KAFUNGULIA KILA KITU
 

1713550914907.png

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linamchunguza aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia (DED), Mkoa wa Pwani, Kassim Ndumbo kwa tuhuma za kufanya ngono na mfanyakazi wake wa ndani (jina limehifadhiwa) anayedaiwa kuwa na umri chini ya miaka 18.

Hatua hiyo imebainika saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa DED huyo usiku wa Aprili 18, 2024 akiwa Istanbul, Uturuki alikoenda kwa ziara ya kikazi.

Hata hivyo, taarifa ya kutenguliwa kwake iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus kwa vyombo vya habari haikueleza sababu za hatua hiyo.

Taarifa zilizoifikia Mwananchi zinadai kuwa Ndumbo anatuhumiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti huyo, jambo lililobainika baada ya mkewe kugundua.

Pia Soma:
- Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo

- Kiongozi wa Halmashauri Mafia adaiwa kumbaka Dada wa kazi. Je, Utenguzi alifanya Rais unahusiana na tukio hili?
 
Ajabu.
Mkurugenzi ameaminiwa kusimamia Halmashauri lakini hata sheria hazijui/ anazipuuza.
Mamlaka ya uteuzilazima iangalie CV ya mtu kabla ya kumpa cheo kikubwa Kama DED.
Mimi ningekua DED kwa mihela wanayoiba bila kukaguliwa Wala kubugudhiwa na mamlaka yoyote, ningejitafutia michepuko yangu mitatu. Mmoja Dar ndani ndani huko Bunju, ingine Tanga wilaya ya Kilindi na nyingine Mtwara, wote ma single maza yenye kazi zao serikalini.
Mpaka mke wangu aje anihisi sio leo.
Sasa hili bwege linachukua mchepuko next room, wakiwa sitting room wanakonyezana mke anaona. Tena mjinga huyu si ajabu alikua anamla mtoto wa watu ndogo.
Ndogo haimuachi MTU salama. Utarudia tu maana makazi ya shetani yako kwenye lile tundu. Ile harufu ndiomarashi ya ibilisi.
 
Back
Top Bottom