Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
unawezaje thibitisha hilo Mkuu Mao..??Hapo ubakaji haupo. Wivu wa mke kabumburusha mahusiano ya mme na H/girl wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unawezaje thibitisha hilo Mkuu Mao..??Hapo ubakaji haupo. Wivu wa mke kabumburusha mahusiano ya mme na H/girl wake.
Inawezekana kasingiziwa maana kwa sisi waislamu kubakana siyo rahisi kwa sababu ya uwezekano wa kuwa zaidi ya mke mmoja. Hilo zengwe kachezewa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linamchunguza aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia (DED), Mkoa wa Pwani, Kassim Ndumbo kwa tuhuma za kufanya ngono na mfanyakazi wake wa ndani (jina limehifadhiwa) anayedaiwa kuwa na umri chini ya miaka 18.
Hatua hiyo imebainika saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa DED huyo usiku wa Aprili 18, 2024 akiwa Istanbul, Uturuki alikoenda kwa ziara ya kikazi.
Hata hivyo, taarifa ya kutenguliwa kwake iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus kwa vyombo vya habari haikueleza sababu za hatua hiyo.
Taarifa zilizoifikia Mwananchi zinadai kuwa Ndumbo anatuhumiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti huyo, jambo lililobainika baada ya mkewe kugundua.
Pia Soma:
- Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo
- Kiongozi wa Halmashauri Mafia adaiwa kumbaka Dada wa kazi. Je, Utenguzi alifanya Rais unahusiana na tukio hili?
Duuuh hatariiii.Wanaokwenda Jela SIO wote wana hatia
Juzi kuna Mzee alichomekewa kesi ya ulawiti nikaambiwa nikamuhoji vizuri maana Polisi walishamkamata Mzee wa watu wakamtia ndani Safari mahakamani kwenye kumbana dogo akasema hajalawitiwa na huyo Mzee Ila Mama yake wa kufikia ndio alimpanga aseme hivyo sababu Mzee alikua anamtaka kimapenzi kwa hio akataka afungwe kwa kesi ya ulawiti Ila ukweli dogo hakua amelawitiwa, ndio baada ya kugundua hivyo zikafanywa process Mzee akaachiwa
Usicheze na Mwanamke
Pemba ya Mozambique au!!😁😁Mafia iko jirani na Pemba .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pemba ya Mozambique au!![emoji16][emoji16]
Una kichwa kigumu mkuu, chini yaSio 16 tena sasa imefika 18 mara hii? Mboni yule X Mayor alisema ni miaka 16?
Hata kama angekuwa na miaka 30 ila kubaka ni jinaiYani huyu ni shetani kabisa, hata kama tunaichukia CCM siwezi kuunga mkono huu upuuzi wa huyu mwanamke.
Binti wa miaka 18 wa sasa si mtoto kabisa.
Niwashauri Wanaume hata kama upwiru umekubana vipi usiwachokoze mabinti wa nyumbani kwako lazimisha akili yako iwachukulie km wanao hata awe mfanyakazi sijui shemeji hao ni km watoto wako tu.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linamchunguza aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia (DED), Mkoa wa Pwani, Kassim Ndumbo kwa tuhuma za kufanya ngono na mfanyakazi wake wa ndani (jina limehifadhiwa) anayedaiwa kuwa na umri chini ya miaka 18.
Hatua hiyo imebainika saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa DED huyo usiku wa Aprili 18, 2024 akiwa Istanbul, Uturuki alikoenda kwa ziara ya kikazi.
Hata hivyo, taarifa ya kutenguliwa kwake iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus kwa vyombo vya habari haikueleza sababu za hatua hiyo.
Taarifa zilizoifikia Mwananchi zinadai kuwa Ndumbo anatuhumiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti huyo, jambo lililobainika baada ya mkewe kugundua.
Pia Soma:
- Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo
- Kiongozi wa Halmashauri Mafia adaiwa kumbaka Dada wa kazi. Je, Utenguzi alifanya Rais unahusiana na tukio hili?
😂 kwa style hii ndio maana hutokaa upate. Wenzako wanapiga hela waongeze mali , wewe unapiga hela uongeze michepukoMamlaka ya uteuzilazima iangalie CV ya mtu kabla ya kumpa cheo kikubwa Kama DED.
Mimi ningekua DED kwa mihela wanayoiba bila kukaguliwa Wala kubugudhiwa na mamlaka yoyote, ningejitafutia michepuko yangu mitatu. Mmoja Dar ndani ndani huko Bunju, ingine Tanga wilaya ya Kilindi na nyingine Mtwara, wote ma single maza yenye kazi zao serikalini.
Mpaka mke wangu aje anihisi sio leo.
Sasa hili bwege linachukua mchepuko next room, wakiwa sitting room wanakonyezana mke anaona. Tena mjinga huyu si ajabu alikua anamla mtoto wa watu ndogo.
Ndogo haimuachi MTU salama. Utarudia tu maana makazi ya shetani yako kwenye lile tundu. Ile harufu ndiomarashi ya ibilisi.
Yeye kupanuliwa na boda boda ni sawa ila mume kumbato katoto kabichi anaona binti ata mpinduaKwahiyo mke wewe uko tayari kuangamiza familia yako Kwa excuse hii.
Ziko njiani nyingi za kuliweka hili Sawa, kwahiyo Mume akienda jela wewe ndio furaha?
Huyo Bodaboda anayekupanuwa atawalipia school fees wanao?
Kigumu km cha Bibi yako mzaa Bibi au SIO? Maana yake na wewe una Bichwa Gumu sio Kichwa Kigumu unaelewa maana ya Bichwa?Una kichwa kigumu mkuu, chini ya
Regardless Hakuna aliyeshikwa Kwa nguvu na binti wa 16+ siyo kinda.Hivyo baadhi ya wanaume mmeona tu suala la mkewe kusema ukweli, ila suala la tuhuma za ubakaji kwa huyo binti mdogo ni sawa na hamjaliona kabisa..!?
Nadhani angekuwa ni binti wa mmoja wenu, at least you could've felt the pain, kuweni na huruma kwa watoto..
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linamchunguza aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia (DED), Mkoa wa Pwani, Kassim Ndumbo kwa tuhuma za kufanya ngono na mfanyakazi wake wa ndani (jina limehifadhiwa) anayedaiwa kuwa na umri chini ya miaka 18.
Hatua hiyo imebainika saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa DED huyo usiku wa Aprili 18, 2024 akiwa Istanbul, Uturuki alikoenda kwa ziara ya kikazi.
Hata hivyo, taarifa ya kutenguliwa kwake iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus kwa vyombo vya habari haikueleza sababu za hatua hiyo.
Taarifa zilizoifikia Mwananchi zinadai kuwa Ndumbo anatuhumiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti huyo, jambo lililobainika baada ya mkewe kugundua.
Pia Soma:
- Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo
- Kiongozi wa Halmashauri Mafia adaiwa kumbaka Dada wa kazi. Je, Utenguzi alifanya Rais unahusiana na tukio hili?
Miaka 16 walisema Ila sasa wamepindua umri wameweka 18 sababu Sheria ya Mtoto hairuhusu mtoto kufanya kazi za ndani miaka 16 ilitakiwa awe Shule, hio ni kesi nyingine, ushanielewa?Shule ulienda kusomea ujinga? Hiyo 16 wewe umeona ni sawa au zaidi ya 18?
Sikutarajia hii comment kutoka kwakoKwahiyo mke wewe uko tayari kuangamiza familia yako Kwa excuse hii.
Ziko njiani nyingi za kuliweka hili Sawa, kwahiyo Mume akienda jela wewe ndio furaha?
Huyo Bodaboda anayekupanuwa atawalipia school fees wanao?
Una ona wivu,wataka ubakwe wewe?Mwenye wazimu kuliko Mudy mbakaji wa watoto?