Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji

Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji

Mwanamke atakuvumilia Kama umechepuka huko nje na mwanamke asiyemjua. Lakini beki tatu ambaye ana bikra zote halafu umri wake Ni under 18. Au rafiki yake au jirani, aisee Yuko tayari kupoteza kila kitu lakini uadibishwe.

Ni ujinga tu, mana hata yeye hakuna atakachokipata zaidi ya hasara
 
Kuna mengi sana nikisema nitaambiwa namtetea mkurugenzi ila mtatambua tu maana hta jf siiamini vyema
 

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linamchunguza aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia (DED), Mkoa wa Pwani, Kassim Ndumbo kwa tuhuma za kufanya ngono na mfanyakazi wake wa ndani (jina limehifadhiwa) anayedaiwa kuwa na umri chini ya miaka 18.

Hatua hiyo imebainika saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa DED huyo usiku wa Aprili 18, 2024 akiwa Istanbul, Uturuki alikoenda kwa ziara ya kikazi.

Hata hivyo, taarifa ya kutenguliwa kwake iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus kwa vyombo vya habari haikueleza sababu za hatua hiyo.

Taarifa zilizoifikia Mwananchi zinadai kuwa Ndumbo anatuhumiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti huyo, jambo lililobainika baada ya mkewe kugundua.

Pia Soma:
- Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo

- Kiongozi wa Halmashauri Mafia adaiwa kumbaka Dada wa kazi. Je, Utenguzi alifanya Rais unahusiana na tukio hili?
Wanaume hio michi yenu inajua kuwaponza. Wengine hamchagui minutes nyie mnatwanga tu. Hamjui kama minutes nyengine vinaleta mitosis na mabalaa. Utamu gani huo wa kuwatoa akili kiasi hicho khaaa!!
 
Anaruhusiwa na Allah kutembea na house girl bila ndoa


Koran 33:50....na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia....
 
Inakuwaje mkurugenzi kuajili katoto chini ya miaka 18?
Kama kufungwa mtafunga watu wengi Sana walioajiri watoto chini ya 18 yrs. Lakini watanzania tutunge Sheria zinazoendana na uhalisia wa maisha yetu, hv ni wangapi wanaishia la Saba, ni wangapi wanaishia form four? Kwahiyo Hawa wasifanye kazi kabisaaaaa mpaka wafikie miaka 18? Nchi masikini zitaendeshwa Sana na fikra za nchi tajiri Kwa sababu ya viongozi wasiowaza nje ya box. Pole mkurugenzi upwiru ndivyo ulivyo😂😂
 
Kama kufungwa mtafunga watu wengi Sana walioajiri watoto chini ya 18 yrs. Lakini watanzania tutunge Sheria zinazoendana na uhalisia wa maisha yetu, hv ni wangapi wanaishia la Saba, ni wangapi wanaishia form four? Kwahiyo Hawa wasifanye kazi kabisaaaaa mpaka wafikie miaka 18? Nchi masikini zitaendeshwa Sana na fikra za nchi tajiri Kwa sababu ya viongozi wasiowaza nje ya box. Pole mkurugenzi upwiru ndivyo ulivyo😂😂
Mpaka hapo sheria hiyo itakapodirishwa
Kwa sasa mkurugenzi ana tuhuma kuvunja sheria hiyo.
Ikithibitika miaka 30 inamuhusu.
 
Wacha walimbikize Mali wafe kwa kisukari wawaachie watu watakua wanatembea na wake zao na binti zao.
Mimi sikudanganyi, supu kwa Sana, beer usiseme na michepuko. Silimbikizi Mali PSSSF yangu itanilinda.
Wee neng’eneka tu 😛
Utakuja usumbue wapwa żako kila wakati Simu na meseji 😆😆
 
Kama kufungwa mtafunga watu wengi Sana walioajiri watoto chini ya 18 yrs. Lakini watanzania tutunge Sheria zinazoendana na uhalisia wa maisha yetu, hv ni wangapi wanaishia la Saba, ni wangapi wanaishia form four? Kwahiyo Hawa wasifanye kazi kabisaaaaa mpaka wafikie miaka 18? Nchi masikini zitaendeshwa Sana na fikra za nchi tajiri Kwa sababu ya viongozi wasiowaza nje ya box. Pole mkurugenzi upwiru ndivyo ulivyo😂😂

tunapenda kuiga iga kila kitu, wakati mengine hayaendani kabisa na mazingira yetu
 
Jamani, mmeona picha ya huyo binti aliyeliwa na mkurugenzi? Ni Moto wa kuotea porini.
Hilo trako hata imam anaweza kusahau kutoa mhadhara.
 
Shida ipo kwa mke wake. Mambo ya nyumbani yaishe nyumban tu. Wanawake wanatakiwa kuwa na Siri. Siri za ndani ziishie ndani. Jamaa akifungwa mke hakuna faida yoyote anapata
Kwa kweli mke wake ndo kamletea jamaa shida yote hiyo
 
Tamaa za mwili zimemponza Kassim Ndumbo.
Kwa haraka haraka nadhani Ndumbo Ni mngoni.
Mngoni kwa pombe na hapo chini.......desh desh desh.....
 
Hivyo baadhi ya wanaume mmeona tu suala la mkewe kusema ukweli, ila suala la tuhuma za ubakaji kwa huyo binti mdogo ni sawa na hamjaliona kabisa..!?

Nadhani angekuwa ni binti wa mmoja wenu, at least you could've felt the pain, kuweni na huruma kwa watoto..
Kwani binti kalalamika..?
Mabinti wangapi wanajiuza mbona hamuwatetei?
 
Hii kesi ni ya mchongo.
Mke wa mkurugenzi alikuwa anapigwa na jamaa (ticha) ikatokea kutishiana kutaka kuoneshana ubabe kati ya muheshimiwa na ticha.
Na ni kweli muheshimiwa alikuwa anamkula house girl. Ndio ikapigwa counter attack akarekodiwa.
Hii kesi inaonesha imetengenezwa na wajanja kibabe.
 
Back
Top Bottom