KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Sawa umetufukuza na kutuibia haki yetu Kwa manufaa yako binafsi hivi unajisikiaje Kuna watu wamefanya kazi zaidi ya miaka 20+ Leo unakuja unaharbu Kila kitu na kuwafukuza Kwa sababu hawana uwezo wa kupambana na ww hao watu unaowatimua kilio chao ni raana kwako na familia hizo pesa utaiba sawa lkn hao uliowafukuza wanakuombea duwa mbaya katika maisha yako na kamwe hutakaa tufurahie huo utajir wako wa dhurma.
 
Mzee wa Garda unahamia kwemye biashara sasa
 
Nimesoma hii, nikawaonea huruma jamaa zangu walinzi nawakuta ofisini kwa mshua pale kila napoenda kumsalimu, daaah. Nikirudi bongo inabidi nikawajulie hali, wale walinzi wa garda wanyama sana peace sana wale. Daaah. Last time nimekutana nao mwezi wa tisa nilipoenda kuchukua gari ya mzee, aliiacha ofisini wakati yko safari akakutwa na umauti, ila jamaa wako fair sana. Nikirudi bongo itabidi nikawacheki pale kama wapo.
 
atleast we wa kishua unaakili Kuna mijamaa huku masaki ww unamlindia Mali zake lkn yeye ni kama anakuchukia hii kazi bro ni kama laana hata ulipwe milioni Kila mtu anakudharau Yani unakuwa innocent Kwa kila mtu.
 
Kumbuka tiGO sasa Yas imekuwa ikiwafanyia unyama wateja wake. Reference ni issue ya Lisu. Ni watu wangapi wameathirika na maamuzi ya akina Lukumay.

Huyo Mkurugenzi wenu ana damu za wasio na hatia mikononi mwake. Hawezi kukaa sawa
 
LuQmay mzee wa Masai club - kinondoni
 
Kumbuka tiGO sasa Yas imekuwa ikiwafanyia unyama wateja wake. Reference ni issue ya Lisu. Ni watu wangapi wameathirika na maamuzi ya akina Lukumay.

Huyo Mkurugenzi wenu ana damu za wasio na hatia mikononi mwake. Hawezi kukaa sawa
acha tu Yani yule jamaa ana roho ya kishetani ila ukikaa nae ukamsikiliza unaingia kwenye mfumo ila nyuma ya pazia jamaa hafai ni mnyama sana nasikia hata babdarini alikuwepo nako kaharbu hapo sina uhakika ila yeye mwenyewe alitamka mbaka nakuja gada nimeshatumikia makampuni zaidi ya matano na huko kote kaacha kilio🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…