KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Namtumia Goodluck thread yako ujumbe umfikie
 
Nyie wenzenu wanaenda kulala mpo nje mnakesha 😄
kazi ya kuuza usingizi.
nimeifanya sana hii kazi ya kipuuzi 😃
ilikua ukichoka unalala zako
siku moja kapita supavaiza akaniuliza unalinda mali au mali inakulinda. nikiwa zangu nimeuchapa usingizi nilikurupuka nikamjibu mara mojamoja mali inanilinda mkuu. kesho yake kifuatacho itv...
 
afadhali wewe umeona Kuna mdau hapo juu anasema ni majungu...
Inauma ile.. alaf muda wa kulipwa masimango kibao bosi anaona kama anakusaidia

mlinzi yoyote wa Garda muulize anamjua boss wake??? unalinda LINDO unajulikana ULTIMATE wewe umevaa nguo ya Garda world 🤣🤣
 
🤣🤣
 
na sikushauli mkuu unadhalilika sana haifai ww unang'atwa na mbu usiku kucha ila ukienda kw mwajiri wako hata kubadili nguo tu unasimangwa sana Yani unajiona sio binadamu inafika kipindi hata ule uanamme inapotea Kwa hofu .
Hizo sio kazi... kutishiwa kufukuzwa ni kugusa tu. Usiku mbu zishakushughulikia vya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…