Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajihami na wao kukuua ni kugusa tu au kukubambikia kesi ukaozea Ukonga/Segerea ukikoswakoswa basi wanakutengenezea ulemavu wa kudumu na hulipwi hata Mia mbovuWapigeni tu ,mjiongeze
Ova
Ndio kajirekodi kachomeka flash yeye kaenda kuendelea kula Hela zao za mafao hana muda wa kukaa kuwasikiliza wanampotezea muda wa kuzitumbua Hela zaoKawawekea spika mlikua mnasikiliza flash disk au?
Ndio kajirekodi kachomeka flash player kawaacha embizoma waendelee kusikiliza mawaidha, yeye kaenda kula BataDaaah kajirecodi na frash.
All the best
Mtanzania akipewa nafasi ya kusimamia sehemu fulani huwa anataka wale waliochini yake waishi kama wako motoni furaha ni kuona wakiteseka na kunyenyekea na siyo kuwapa stahiki zaoNdio kajirekodi kachomeka flash yeye kaenda kuendelea kula Hela zao za mafao hana muda wa kukaa kuwasikiliza wanampotezea muda wa kuzitumbua Hela zao
Mzungu anakuja anasema Hawa nitawalipa kimataifa km wanavyolipwa walinzi wa Canada mbongo aliepewa rungu anawakandamiza anamwambia Mzungu hapa sio Canada Hawa usiwalipe km watu wa Canada walipe km Watu wasio na umuhimu wowote Mzungu anasema ebu tuone mbinu yake sasa mbinu anayoitumia mbongo ndio hio kuwakimbia Wafanyakazi hawasikilizi Wafanyakazi sababu anajua anawaibia haki zao na stahiki zaoMtanzania akipewa nafasi ya kusimamia sehemu fulani huwa anataka wale waliochini yake waishi kama wako motoni furaha ni kuona wakiteseka na kunyenyekea na siyo kuwapa stahiki zao
Ulipotaja neno KELO nikasikitisha kusoma hapo hapo.
Sumu ya Panya, mbu hazoelekiGadawadiiiiii......! Daaah kitambo sana!
Ulipotaja neno KELO nikasikitisha kusoma hapo hapo.
Namtumia Goodluck thread yako ujumbe umfikie
na sikushauli mkuu unadhalilika sana haifai ww unang'atwa na mbu usiku kucha ila ukienda kw mwajiri wako hata kubadili nguo tu unasimangwa sana Yani unajiona sio binadamu inafika kipindi hata ule uanamme inapotea Kwa hofu .
Anaogopa kurogwa. Chezea niggers wewe!Duuh Kuna watu Wana zarau aisee😂yaani kaitisha kikao kawawekea spika msikilize? Siku nyingine ataweka flash kajirekodi mumsikilize
Mbona wewe mwenyewe hujui kuandika 🚮Ulipotaja neno KELO nikasikitisha kusoma hapo hapo.
lala tu mzee Kwa uandishi huu🌈 maana umejaa zarau nyingi na huna point zaidi ya kejeliMzee kampuni imeuzwa mnataka kulipwa mlikua shareholders? Kama hukua shareholder endelea kulinda mzee siku akili ikifunguka kuwa ulinzi si kazi utaenda kushona hata viatu na mkeo atakuheshimu kuliko ulinzi.
Walikuwa wanaongea na MafweleMnafanya kikao na mtu asiyeonekana. Hii kali 😅