Gardaworld Wana mfumo wanao uogopa... Unaitwa
GardaWorld Ethics Hotline kupitia hicho kiunganisha chukua hayo maelezo Yako bila kupunguza ukali wa maneno nenda kayaandike kwenye system yao ya malalamiko ambayo yatafanyiwa kazi makao makuu ya gardaworld Kisha hao unao watuhumu watapokea order ya kurekebisha kero ulizo zifafanua.
System hiyo unaweza kutoa malalamiko Yako kwa kificho bila kutaja utambulisho wako
Ukiona hiyo system inakusumbua unaweza kupiga simu ya malalamiko ambayo itapokelewa moja kwa moja na uongozi wa juu nje ya mipaka ya TanzaniA namba yao ya simu ni 0800780005
Hudumia hiyo ni ya kificho na Siri mno hakuna kiongozi wa garda ane penda wafanyakazi wa chini wafahamu njia hiyo...itumie uje unipe mrejesho