KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
1726218008070.png
 
Chura maji walikuwa na issue gani mpka wakaingia hapo hotelini
Mkuu yaani siku hiyo zilikuja coaster tatu walikiuwa na harusi sasa Mimi nikawauliza vipi mnataka kupiga picha mna kibali ?
Na maharusi walikuwepo na wazazi na ndugu wengine na coaster moja ndio lilikuwa na hao vyura na matarumbeta yao.
Baada ya kuwaambia wanipe kibali akaja floor Man wao. Yaani ukimwangalia tu unabaki unacheka kavaa suti ya blue bahari, shati jekundu tai nyeusi na nywele kama Arturo Vidal alikuwaga mchezaji wa Barcelona.
download (2).jpeg

Huyo floor Man muonekano wake ulikuwa kama huyo Mwamba ☝️🤣🤣
Na yeye hajui kama kuna ishu ya kibali nikamwambia kama hauna kibali nyoosha goti mnajaza nzi hapa na hii ni sehemu ya Watalii na watu wenye nazo hatutaki usumbufu, akaniomba sana yule Mwamba yaani alivyokuwa anaongea mpaka nilikuwa nachekea moyoni kwanza alikuwa kalewa na amevuta sana ganja. Mustachi umepigwa piko na kiduku kimepigwa piko halafu imekosewa kosewa 🤣🤣🤣. Nikamwambia lete 50,000 mkapige picha tena sio hapa ni kule Jet. Akalia lia pale akatoa 30,000 nikawambia mpite kimya kimya sitaki kelele wakapita pale na hela washanipa. Wakaelekea Jet, huko jet ni njia ambayo imetengenezwa kutenganisha bahari ili watu wawe wanatembea kwenda kupanda boti za kwenda Mbudya Island.
IMG-20240913-WA0007.jpg

☝️ Hicho kimshale chekundu ndio kinaelekeza kwenda Jet. Na hapo kwenye Oval shape niliwakatalia wakakubali wakaenda kupiga picha wapo kama watu 80 au zaidi walichukua saa nzima. Sasa wakati wa kurudi walipo fika hapo kwenye Oval shape wakaanza kupuliza maturumbeta na kupiga mingoma yao. 🤣🤣🤣 Chura wakaanza kusaula aisee ilikuwa balaa nilitetemeka nikawa nawatuliza hawataki mpaka nikaanza kutumia Panic Burton kuwavuta lakini hawaelewi mpaka yule Mwenye Hotel ni Mmarekani Mama kibibi kizee kikaniambia Askari acha. Wazungu wakaacha kula bata wakaanza kupiga picha na kurekodi video clips . Wazungu waliinjoi sana. Sasa msala wangu ukawa na Supervisor 🤣🤣🤣🤣
 
Salute.

Naomba niende kwenye maada mimi kama askari (mlinzi) wa kampuni binafsi wa Garda world nimeamua kutumia platform hii kuleta kero ya kiongozi wetu mkuu wa kampuni ya ulinzi Garda world.

Kiukweli kiongozi wetu LuQmay tangu umepata kazi kwenye kampuni yetu sisi kama walinzi upande wa ultimate zamani kiukweli umekuwa tatizo kubwa na ni kero katika ufanyaji kazi.

Kwanza tangu umepata nafasi ya kuendesha kampuni ukitokea tigo hujawahi kuitisha kikao ujue wafanyakazi wako wanapitia shida gani na Nini malengo yako katika kampuni badala yake umekuwa (MUNGU MTU).

Naomba nieleze hapa kampuni ya ultimate kabla yakuwa Gardaworld imepitia mikononi mwa wamiliki wengi na Kila walipokuwa wanaamua kuuza kampuni Kwa mmiliki mwingine tulikuwa tuitwa kinafanyika kikao tunaeleweshwa na karibu hao maboss wote watu Ziballa & shivva nk.

Walikuwa wanafanya press tunajulishwa Kila kitu na walitoa pesa ya Asante nakumbuka nilipokea 1.2m maana nilifanya kazi Kwa miaka kumi na kipindi hicho chote tukiwa ultimate Kila baadae ya miezi sita.

Mkurugenzi aliitisha kikao tukasema kero zetu na zikafanyiwa kazi sasa tangu kampuni ya ultimate iuzwe na kuchukuliwa na Garda world.

Kiufupi tunaona tunaendeshwa kihuni hivi inakuwaje tunaenda kumuona mkuu wa mkoa mh chalmila hatupati ugumu wa kumuona iweje kwako Mkurugenzi ndugu luQmay utuwekee uzibe tusikuone kuleta kero zetu.

Pli kampuni imeuzwa mmiliki ambao ni wazungu wamekupa fedha wafanyakazi walipwe kama fidia ya kubadili mikataba Yao kutoka ultimate kwenda Garda world lakini kutokana na roho yako mbaya unataka kutuzima kinguvu Ili fungu uchukue na ni pesa nyingi ukiweza kutuzima tunaamini utatajirika sana tatu week mbili nyuma umenitisha kikao tumekuja kwenye kikao umetuwekea spika ndani ya ukumbi Yani wewe na team yako ya upigaji munaongea bila kuonekana sisi tunasikia tu kwenye spika mtu hatumuoni it's ok hata kama mmeamua kutufanya wajinga lakini sio Kwa level hiyo kikao.

Kilivyoshindikana ukapanga kikao tarehe Saba ulivyosikia na sisi tunakuja na wanasheria wetu mkaahirisha kikao Kwanini kiongozi LuQmay usijifunze

Kwa wenzio akina Eliuta mwanjawike walikuwa wanakula na kipofu alikuwa hakimbiii wafanyakazi mwisho usifikiri utatuendesha kirahisi kama unavyodhani..

Pia sisi tulidhani wewe mtu mweusi uwe mkombozi wetu Kwa hao wazungu lkn wewe ndio umekuwa mwiba kwetu hata kama ukifanikiwa kutudhurumu it's tutakuombea hata Dua mbaya tu maana mahakamini tukipekeleka kesi tukishinda unakuja kuappeal then uinaweka kapuni na kutishia kufukuza kazi wafanyakazi.

Ila Kwa hili la malipo ya mikataba tutaenda hata ubalozi wa Canada kushinikiza waiitwe wamiliki wa kampuni mwisho jifunzeni G4s na SGA uone kampuni zinavyoendeshwa.
Unalala lindoni umeshikilia mtutu, umeacha mkeo nyumbani anashikiliwa na wahuni, afu uyo LuQumay anawaletea Uqumay.. nini sasa faida ya kushikilia hizo chuma? mpelekeeeni moto na mjegeje, za kichwa, za mbavu, za kiuno... jifanye Hamza hata kwa siku moja tu mzee, acha majungu ya mitandaoni.
 
Walinzi wengi Ngumbaru
Watachukia ukweli, ila ukweli unauma.
Utakuta baadhi ya hao walinzi walikataa shule makusudi, walichoma shule achilia mbali hata kupiga walimu!!
Leo wataonekana watakatifu wanaokandamizwa ila si ajabu baadhi yao wanamambo ya kutisha enzi wakiwa wanafunzi!!😂😂
 
Kumbe Garda wababaishaji hivyo!? Ngoja tusubiri utetezi wao tupime maelezo ya pande zote.
WANA madudu mengi sana eti wenyewe wanakwambia mlinzi hapaswi kupata overtime ya night allowance wao wanamchukulia mlinzi kama mtu ambae ni lazima afanye kazi usi tena bila kulipwa night allowance hii mijamaa ina madudu mengi ambayo ukiandika hapa jamii haito elewa ila kwa kifupi...kampuni bora inayo zingatia maslahi ya wafanya kazi ni WS Insight pekee kwa Tanzania
 
Mazingira ya walinzi nayaelewa Sana. Garda, G4S, na SGA wanajitahidi Sana. Tatizo ni baadhi ya viongozi wao hasa watanzania, hawajitambui. Haya makampuni mengine ambayo ofisi IPO kwenye fremu, ndio kinyaa kabisa.
inayo jitahidi kabisa ni WS Insight...kwangu hii ni kampuni bora kuliko hizo nyingine...ina jali sana wafanyakazi
 
Salute.

Naomba niende kwenye maada mimi kama askari (mlinzi) wa kampuni binafsi wa Garda world nimeamua kutumia platform hii kuleta kero ya kiongozi wetu mkuu wa kampuni ya ulinzi Garda world.

Kiukweli kiongozi wetu LuQmay tangu umepata kazi kwenye kampuni yetu sisi kama walinzi upande wa ultimate zamani kiukweli umekuwa tatizo kubwa na ni kero katika ufanyaji kazi.

Kwanza tangu umepata nafasi ya kuendesha kampuni ukitokea tigo hujawahi kuitisha kikao ujue wafanyakazi wako wanapitia shida gani na Nini malengo yako katika kampuni badala yake umekuwa (MUNGU MTU).

Naomba nieleze hapa kampuni ya ultimate kabla yakuwa Gardaworld imepitia mikononi mwa wamiliki wengi na Kila walipokuwa wanaamua kuuza kampuni Kwa mmiliki mwingine tulikuwa tuitwa kinafanyika kikao tunaeleweshwa na karibu hao maboss wote watu Ziballa & shivva nk.

Walikuwa wanafanya press tunajulishwa Kila kitu na walitoa pesa ya Asante nakumbuka nilipokea 1.2m maana nilifanya kazi Kwa miaka kumi na kipindi hicho chote tukiwa ultimate Kila baadae ya miezi sita.

Mkurugenzi aliitisha kikao tukasema kero zetu na zikafanyiwa kazi sasa tangu kampuni ya ultimate iuzwe na kuchukuliwa na Garda world.

Kiufupi tunaona tunaendeshwa kihuni hivi inakuwaje tunaenda kumuona mkuu wa mkoa mh chalmila hatupati ugumu wa kumuona iweje kwako Mkurugenzi ndugu luQmay utuwekee uzibe tusikuone kuleta kero zetu.

Pli kampuni imeuzwa mmiliki ambao ni wazungu wamekupa fedha wafanyakazi walipwe kama fidia ya kubadili mikataba Yao kutoka ultimate kwenda Garda world lakini kutokana na roho yako mbaya unataka kutuzima kinguvu Ili fungu uchukue na ni pesa nyingi ukiweza kutuzima tunaamini utatajirika sana tatu week mbili nyuma umenitisha kikao tumekuja kwenye kikao umetuwekea spika ndani ya ukumbi Yani wewe na team yako ya upigaji munaongea bila kuonekana sisi tunasikia tu kwenye spika mtu hatumuoni it's ok hata kama mmeamua kutufanya wajinga lakini sio Kwa level hiyo kikao.

Kilivyoshindikana ukapanga kikao tarehe Saba ulivyosikia na sisi tunakuja na wanasheria wetu mkaahirisha kikao Kwanini kiongozi LuQmay usijifunze

Kwa wenzio akina Eliuta mwanjawike walikuwa wanakula na kipofu alikuwa hakimbiii wafanyakazi mwisho usifikiri utatuendesha kirahisi kama unavyodhani..

Pia sisi tulidhani wewe mtu mweusi uwe mkombozi wetu Kwa hao wazungu lkn wewe ndio umekuwa mwiba kwetu hata kama ukifanikiwa kutudhurumu it's tutakuombea hata Dua mbaya tu maana mahakamini tukipekeleka kesi tukishinda unakuja kuappeal then uinaweka kapuni na kutishia kufukuza kazi wafanyakazi.

Ila Kwa hili la malipo ya mikataba tutaenda hata ubalozi wa Canada kushinikiza waiitwe wamiliki wa kampuni mwisho jifunzeni G4s na SGA uone kampuni zinavyoendeshwa.
Philipo nishakujua we ni Philipo week ijayo j4 satatu tuonane oficn
 
Back
Top Bottom