GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
R.I.P Mzee wetu Mwang'onda
Wewe ni mmoja kati ya watu wa mwisho mwisho mliokuwa mmepikwa mkaiva haswa.
Nisalimie sana Emilio Mzena na Jenerali Imrani Kombe!
Daima utakumbukwa.
Moderator imefika wakati sasa huo uzi hapo chini kutoka kwa Mzee Mwanakijiji unaozungumzia uchafu wa Mwang'onda Ufunguliwe ili ajadiliwe kwa haki kutokana na matendo yake ili Mungu achukue hatua zinazostahili dhidi yake .
Natanguliza shukrani
For the greater glory of God
Kwa nn utumie hii lugha sasa
Dah nakumbuka enzi hizo kitaa kwenye daraja la Apson kabla ya kwa Zenna Kawawa, kuna jamaa alimuibia mbwa wake
Yule jamaa akipita nje ya ukuta wako kama mbwa wako ndani watavunja banda wamfuate sijui alikuwa anatumia nini
R. I. P Mzee Apson
Hivi hakumfitini Laigwanani huo ,
Mabalaa ya damu za watu yanaanza saaa kuwatafuta kizazi cha kwanza hadi cha nne, Mungu sio mwongo ni mwaminifu. Sasa kaenda na mali alizotumikia??alafu eti mijitu inakuja hapa inasema RIP, pumbav, muacheni Mungu aweke mavuno yake panapostahili, na kama damu ya ulimboka ipo kwake basi italia mpaka kizazi chake cha nne
Saccos mliiogopa mpaka mikutano mkazuiaSi ndiyo alikuwa anamsaidia mgombea urais wa Saccos 2015 Mh. Lowassa au mmesahau??!!
Wauachie tuujadiliNimetoka kuusoma kuna nondo nzito sana.
Utachafuliwa tu kwa matusi,zile ndio zilikuwa enzi za mijadala hapa JFWauachie tuujadili
kijana hebu fungua huo uzi unaoning'inia hapo chini baada ya uzi wa mleta mada , nadhani wakati huo hukuwemo jfAjadiliwe kwa Kosa gani labda ambalo una uhakika nalo kuwa alilifanya chini ya Uongozi wake kama TISS DG enzi zake?
""""Motoni"""" watu wasiojulikana uenda motoni kutokana na unyama waliofanya apa dunianiAlale anapostahili
Rambirambi kwa mwalimu Mrs. Apson Mwang'onda, Thomas Mwang'onda na familia.
MalawiApson alisomea wapi ujasusi?
Damu ya IMRAN KOMBE inawalilia watu, sijui nani ila zile risasi alizomiiniwa, mpaka kizazi cha 4
Afrika Kusini alipelekwa Na familia? Kwanini familia ithibitishe kifo cha Mtendaji Mkuu wa idara ya serikali? Taarifa hiyo Ina ukweli gani?
Hivi bobevu Jimmy yuko wapi siku hizi? Hasikiki. Sijui aliteuliwa DC au nimechanganya?
Je Ben Mwang'onda wa Azam Tv ana undugu na huyu mzee?
Kwani ' Spymasters ' ndiyo huwa wanawaweka Madarakani Marais wa Tanzania? Watanzania tunapenda mno Uzushi na Uwongo.
Hahahaha, Oysterbay Primary school hii nini