Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Huko mtaani wengine hawafi?.Tys wastaafu na waliomo wanapuputika tu
Kaka yake ndiyo DCHivi bobevu Jimmy yuko wapi siku hizi? Hasikiki. Sijui aliteuliwa DC au nimechanganya?
Ndio mkuu hawafi😎Huko mtaani wengine hawafi?.
Je Ben Mwang'onda wa Azam Tv ana undugu na huyu mzee?Rambirambi kwa mwalimu Mrs. Apson Mwang'onda, Thomas Mwang'onda na familia.
Sasa si nmekupa maana ake hapo nijifunze mara ngapijifunze
Ole wao... Naomba kuishia hapa...hivi mnakuwaga na roho ya ubinadamu kweli ninyi CCM?
acha unafki ndugu, utakufa mdomo wazi.
Tangu lini unatoa pole kwa kifo huko mnateka na kuua watu?
in hell
Wewe ni yule fundi G uliyempa mimba binti yake.Mhhhh RIP baba mkwe.
Tulia kwanza bana.Wewe ni yule fundi G uliyempa mimba binti yake.
Wakuu,mpo serions? Mungu atafanya maamuzi kwa kusoma nyuzi za JF?Nimetoka kuusoma kuna nondo nzito sana.
Hospitality ndiyo nini? Punguza munkari, tulia uandike kwa ueledi.
BTW kama ni kweli kafariki, basi tuseme RIP shushushu namba 1 mstaafu.
Cc Unforgetable
Huwa wanajisahau sana, badala ya kulinda usalama wa taifa wao wanalinda ushindi na wizi wa kura za upinzani