Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Maharage Chande asema pamoja na kukamilika kwa mradi wa Bwawa la Nyerere, watanzania tutegemee migao zaidi!

Hamuogopi Mwenye Enzi Mungu ambaye analipa kisasi na upanga ukatao kuwili walahi [emoji35]
 
Maji yanatokana na mvua,mvua haleti rais,tulipata mvua nyingi 2017/18-2020,mabwawa hayakukauka,2020-2021 hapakua na mvua, mabwawa yamekauka,Kama kukatika umeme kipindi Cha magu ulikua ukikatika,niliunguza Samsung kwa umeme kukatika hovyo 2018/19,nimeonesha mpira kwa jenereta kipindi Cha magu
 
Kama kausema ukweli, kulikuwa na haja gani Kwa viongozi wetu wakuu wa Taifa, akiwemo aliyekuwa Rais wa awamu ya 5, Hayati Magufuli, kutuongopea kuwa mradi huo ndiyo utakaoweza kumaliza matatizo ya mgao wa Umeme nchini?
Kwa sababu mnapenda zaidi kuwasikiliza wanasiasa bila kujiongeza
 

2015-2021 hatukuwa na mgao wa umeme wala maji, vyote vilianza miezi baada ya Utawala huu kuja, kwa hiyo laana ya ukame iliwasubiri? Isitoshe Makamba Waziri muhusika alisema sababu ya mgao ni matengenezo ya Mashine ambapo hazikufanyiwa matengenezo kwa muda mrefu (2015-2021) ndio maana hakukuwa na mgao kipindi hicho na baada ya matengenezo kuisha mgao ungeisha na hakusema mambo ya ukame, sasa iweje narratives zinabadilila kila mara?
 
Watanzania maneno mengi sana tuna jifanya wajuwaji kumbe Zero ngonjera nyingi tu Tanzania nzima access ya UMEME ni chini ya 40% kitaifa yaani NCHI NZIMA asilimia 40% wenye matumizi ya umeme hata hivyo vyanzo vyote vilivyo sasa vizalishe katika full capacity ni less than 40% ni uwenda wazimu baada miaka 60yrs ya Uhuru hata CONGO wametushinda.
 
Dunia inaongozwa na satanist, itoshe tu kusema hivyo, usifikiri kila mtu anapenda maendeleo ya watu wote, kuna watu wanapenda tunavyopata shida ndiyo furaha yao, matazizo mengi na umaskini uliopo ni wa kutengenezwa kwa makusudi kabisa, …
Kweli kabisa. Ila kwa nini nchi kama za waarabu wa jangwani wanaendelea sisi wenye kila kitu including mafuta na almasi dhahabu na vito vyote tunabaki masikini tena wa kuomba omba na tunaona sifa ya kupiga makofi tukipata mikopo???
 
Kweli kabisa. Ila kwa nini nchi kama za waarabu wa jangwani wanaendelea sisi wenye kila kitu including mafuta na almasi dhahabu na vito vyote tunabaki masikini tena wa kuomba omba na tunaona sifa ya kupiga makofi tukipata mikopo???

Kwa sababu inapangwa hivyo, bila ya umeme na maji hauwezi kuendelea, kwa hiyo kama unataka mtu abakie masikini omba omba na tegemezi mnyime umeme na maji ya uhakika, usisahahu kwamba umaskini ni biashara pia, kuna watu wananufaika sana na umaskini uliopo!
 
Ndiyo ujue kuwa viongozi wetu wa CCM, wote ni wasanii😃
 
Kweli kabisa. Ila kwa nini nchi kama za waarabu wa jangwani wanaendelea sisi wenye kila kitu including mafuta na almasi dhahabu na vito vyote tunabaki masikini tena wa kuomba omba na tunaona sifa ya kupiga makofi tukipata mikopo???
Tume relax tunajiona kama ni katika nchi zilizoendelea ndio maana tunagusa hiki tunaacha tunagusa kile mwisho wa siku hakuna hata kimoja tulicho fanikiwa.
 
Huna unachojua wewe!Wakati wengine wanazitafuta GW huko,wewe bado unashangaa vi 60000 MW!.
 
Kwa hiyo picha za ruaha kukauka hujaziona au!?..au hutaki kubali kuwa mabwawa ya kuzalisha umeme yamepungua kina!?..Kama alisema mitambo ilikua na uchakavu sababu haikufanyiwa maintenance muda mrefu,una tatizo gani na Hilo!?..hutaki au!?..sababu zote hizo zinafanya umeme usizalishwe na kupelekea mgao,gumu lipi kuelewa hapo!?
 
Sasa tufanyeje????
 

Miaka 5.5 tumeishi bila ya mgao wa umeme pamoja na ukame kuwepo, …
 
Miaka 5.5 tumeishi bila ya mgao wa umeme pamoja na ukame kuwepo, …
Ukame ulikuwepo lini wewe,hata mienendo ya mvua unafuatilia!?..tangu magu aingie mwaka ambao ulikua na mvua duni ni 2016/17,lakini 2017/18 palikua na mvua nyingi mno,wakati 2020/21-21/22 mvua haikuwepo,na bado 22/23 tunaambiwa na tunaona mvua hakuna
 
Megawatts 60,000 unazijua lakin au umekosea..?

nafikiri atakiwa amekosea labda alimaanisha 6,000Megawatt na Sio 60,000
Sisi hata baada ya Miaka 100. bado hatujafikia mahitaji hayo kaka
 
Ukame ulikuwepo lini wewe,hata mienendo ya mvua unafuatilia!?..tangu magu aingie mwaka ambao ulikua na mvua duni ni 2016/17,lakini 2017/18 palikua na mvua nyingi mno,wakati 2020/21-21/22 mvua haikuwepo,na bado 22/23 tunaambiwa na tunaona mvua hakuna

Kwa hiyo ukame huandama Awamu ya 4 na hii tu? Kwa maana mgao wa sasa hivi ni copy&paste ya awamu ya 4, kubalini tu kwamba mko incompetent!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…