Ndoleleji mission
Senior Member
- Aug 11, 2016
- 161
- 91
Kwa hiyo unatakaje?Usalama umepungua makazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unatakaje?Usalama umepungua makazini.
Kutesa kwa zamu mrangi subiri na we hiyo 2200 ili uje utese kwa zamu pia.
Ingia website ya bungeNadhani ni muda muafaka hizi report za CAG ziwekwe hadharani nasi tuwe tunazisoma. Wapost hata kwenye website zao, au serikali ianzishe special portal tuwe tunazipakua huko
Naomba kuelimishwa: who is the appointing and disciplinary Authority of TPDC MD?
Hii ya kusimamishwa tu haitoshi, na ikiwa kweli wameamua kumsimamisha maana yake tayari wamejiridhisha kwa tuhuma husika.
Nasubiri kusikia mtuhumiwa anafikishwa mahakamani ili akajibu mashtaka ya wizi na ufujaji wa mali ya uma.
Huwa zinawekwa mkuu, ukiingia kwenye website ya CAG zipoNadhani ni muda muafaka hizi report za CAG ziwekwe hadharani nasi tuwe tunazisoma. Wapost hata kwenye website zao, au serikali ianzishe special portal tuwe tunazipakua huko
Mkuu,Wewe ni maskini wa roho na mwili na fedha unayependa kusikia mabaya yakiwapata watu.Nina uhakika kabisa utakufa na roho yako ya chuki na visasi ngenga.
Usalama umepungua makazini.
Usalama umepungua makazini.
Mkuu,
Kwanza sijawahi kua na roho ya kwanini aka korosho.
Pili swala la wizi wa mali ya uma ni jambo la kukemewa kwa nguvu zetu zote, tena mtu anapo mtuhumiwa kwa kosa la wizi au ubadhirifu wa mali ya uma, ni lazima afikishwe mahakamani ili kuthibitisha kama kweli mtuhumiwa amehusika.
Pia yawezekana mtu akatuhumiwa na kumbe haja husika kwa ubadhirifu, pengine yawezekana wakawepo watu wanaomuonea kijicho.
Kwa maana hiyo kimpeleka mtuhumiwa mahakamani ni pamoja na kutaka kutafuta ukweli ikiwepo haki ya mtuhumiwa.
Tatizo watu wengi walihalalisha ufisadi/rushwa, na kuona kama ni sehem ujira/ haki au malipo yao halaliKama unafanya madudu na ufisadi lazima usalama upungue na hata kumalizika kabisa.
Ni kweli lakini ni vizuri mafisadi watoweke kwenye ajira za umma.
Kwa hiyo huko Ulaya unakosemea ndiko wanakofundishwa huo ukanjanja na utumishi usio simamia sheria..?Kufanya kazi Tanzania shida tupu. Arudi zake Ulaya akale bata kwa mrija.
Thanks.Ni His excellency President lakini amekasimu mamlaka ya nidhamu kwa bodi husika mkuu
Hiyo ni definite sentence, kama ambavyo umeshindwa kuielewa subiri methali "anga kaanga tuu chini ya gae" iishi kwako.Kwa hiyo unatakaje?
Dr James Mataragio mbobezi was masuala ya oil and gas rais kikwete alimtoa USA kuja kusaidia tpdc yetu.
Ila kwa serikali ya huyu mtukufu ajiandae tu kurudi USA tu.
Zipo ingia kwenye website ya www.nao.go.tz zipo kwa kiswahili na english your choiceNadhani ni muda muafaka hizi report za CAG ziwekwe hadharani nasi tuwe tunazisoma. Wapost hata kwenye website zao, au serikali ianzishe special portal tuwe tunazipakua huko
mkuu hhakuna individual reports za wilaya, mkoa, mashirika ya umma kama TPDC nkZipo ingia kwenye website ya www.nao.go.tz zipo kwa kiswahili na english your choice