Mkurugenzi mtendaji TPDC, Dkt. Mataragio asimamishwa kazi

Mkurugenzi mtendaji TPDC, Dkt. Mataragio asimamishwa kazi

Sasa naskia ile ripoti ya CAG ambayo inasemekana ndio ilipelekea kusimamishwa kwa Mkurugenzi huyu imetoka, cha kushangaza ni kwamba hizo ishu hazijaongelewa hata kidogo na ripoti ni unqualified hivyo ni safi na hata katika kipengele cha manunuzi inaonekana taasisi hii imefuata utaratibu katika kufanya manunuzi ya umma kwa mwaka 2015...
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1473936084.271071.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1473936084.271071.jpg
    82 KB · Views: 55
Kuna tetesi nimezipata kwamba Wakurugenzi wanne TPDC akiwemo MD wamesimamishwa na body ya wakurugenzi kupisha Uchunguzi wa Ufisadi kwenye moja ya manunuzi.

Hii imetokea kwenye kikao kilichofanyika jana jioni na leo wameamriwa by saa mbili asubuhi wawe wamekabidhi ofisi
Hizi tetesi au ulimbukeni wako kwenye hii mitandao?!
 
mume wa madam pale dodoma kanusurika? tulizo la moyo
 
TPDF umesahau yule wa taarifa ya kifaru kuibiwa mtafute umwulize alafu njo changia
 
Hii ya kusimamishwa tu haitoshi, na ikiwa kweli wameamua kumsimamisha maana yake tayari wamejiridhisha kwa tuhuma husika.
Nasubiri kusikia mtuhumiwa anafikishwa mahakamani ili akajibu mashtaka ya wizi na ufujaji wa mali ya uma.
Subira huvuta heri!
 
Kuna tetesi nimezipata kwamba Wakurugenzi wanne TPDC akiwemo MD wamesimamishwa na body ya wakurugenzi kupisha Uchunguzi wa Ufisadi kwenye moja ya manunuzi.

Hii imetokea kwenye kikao kilichofanyika jana jioni na leo wameamriwa by saa mbili asubuhi wawe wamekabidhi ofisi
Magugumaji ameanza kula matapishi yake...enzi hizo kiburi na ulevi wa madaraka vimemjaa anafukuza tu kila asiyempenda!
 
Hapa Ndipo utakapo Jua Kwamba haki Ya Mtu aipotei Bali Inacheleweshwa Tu
 
Hii ya kusimamishwa tu haitoshi, na ikiwa kweli wameamua kumsimamisha maana yake tayari wamejiridhisha kwa tuhuma husika.
Nasubiri kusikia mtuhumiwa anafikishwa mahakamani ili akajibu mashtaka ya wizi na ufujaji wa mali ya uma.
Narudia tena, subira huvuta kheri. Alituhumiwa, akarudishwa, akapanguliwa, akarudishwa etc etc. Maisha ni safari ndefu hadi kufika uendako.
 
Back
Top Bottom