Unaamini kwenye mizimu? Ndio maana hueleweki,jibu swali ni usalama upi kazini unaouzungumzia wewe?Nilijua najadiliana na mtu kumbe mzimu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaamini kwenye mizimu? Ndio maana hueleweki,jibu swali ni usalama upi kazini unaouzungumzia wewe?Nilijua najadiliana na mtu kumbe mzimu!!!
Mara zote waliotolewa ulaya walitumika kama mipira baada ya lengo kukamilika unatupwa jalalani; yu wapi Dr. Balali? naye ciciyenu walimtoa USA wakamleta BoT; walipomtumia vizuri wakasema amefariki na nimarufuku mtu yoyote kuhuzuria mazishi yake ila serikali peke yake ndo inaruhusiwa😡😡🙁 hiyo ndo tabia ya maciciyenu.Mimi simjui huyo mtu na hivyo sijui kama ana kosa au la. Hatahivyo hoja yako ya kutolewa Ulaya ni ya hafifu sana. Hivi mtu akitolewa Ulaya hawezi kufanya kosa??
Una cheti kikuuuubwa lakini maswali yaliyosababisa ufaulu ni kama:-Unaamini kwenye mizimu? Ndio maana hueleweki,jibu swali ni usalama upi kazini unaouzungumzia wewe?
Nadhani ni muda muafaka hizi report za CAG ziwekwe hadharani nasi tuwe tunazisoma. Wapost hata kwenye website zao, au serikali ianzishe special portal tuwe tunazipakua huko
Viroba vinakusumbua unakwepa hojaUna cheti kikuuuubwa lakini maswali yaliyosababisa ufaulu ni kama:-
Siasa ni...........
Wewe ukajaza kilimo ukapata.
Asiyejua maana haambiwi maana.
Wengine ofisi za umma walifanya ndio magenge yao ya kuuzia nyanyaNa wizi nao unapungua sana...
Wewe hata ukitwangwa kinuni pamoja na ngano abadani huivi!!!Viroba vinakusumbua unakwepa hoja
Hivi kwa mtizamo wako umeona miye nimelalama? Hebu jifunze kusoma post za wenzio ukatulia na kutafakari. Unacho jua wewe sio wote wanajua sio uanze kujitia ujuaji. Mbona wenzio wametoa link tuu kistaaarabu. Akili nyiiiiiiingiiiii mbele kiza.
Hii ya kusimamishwa tu haitoshi, na ikiwa kweli wameamua kumsimamisha maana yake tayari wamejiridhisha kwa tuhuma husika.
Nasubiri kusikia mtuhumiwa anafikishwa mahakamani ili akajibu mashtaka ya wizi na ufujaji wa mali ya uma.
Kufanya kazi Tanzania shida tupu. Arudi zake Ulaya akale bata kwa mrija.
Duh...noma hii!We will be following his progress with great interest, and are sure that he will bring a breadth of skill and experience to this role that will ensure that TPDC has a significant impact on exploration and production in Tanzania”.
Kufanya kazi Tanzania shida tupu. Arudi zake Ulaya akale bata kwa mrija.
Bongo majungu. Enzi hizi za kukurupuka bila kufanya uchunguzi wa kina watafukuza kila brain wabaki na makarani!!
Aliacha kazi yake nzuri sana US kurudi nyumbani ili kuja kusaidia kusukuma gurudumu la maendeleo nchini sasa imekula kwake.
Imenikumbusha Daktari Masau daktari mzalendo ambaye alienda kusomea udaktari wa upasuaji moyo US. Baada ya kumaliza vizuri sana masomo yake pamoja na vishawishi chungu nzima alivyovipata vya kubaki US ikiwemo mshahara na marupurupu manono aliamua kurudi nyumbani ili aje asaidie Watanzania wenye matatizo ya moyo, lakini akaishia kupigwa vita kwa kila namna ikiwemo kuomba rushwa na maofisa mbali mbali wa Serikali (wizara ya afya na kwingineko) ili tu 'wamsaidie' kuanzisha hospitali yake. Matatizo makubwa aliyokutana nayo katika kuanzisha hospitali yake yakamsababishia msongo wa mawazo hadi alipokutana na kifo chake.
TANZIA: Dr. Ferdinand Masau wa Tanzania Heart Institue afariki dunia
wajisimamishe wenyewe kwani wamekuwa gegedeo!?