Mkurugenzi mtendaji TPDC, Dkt. Mataragio asimamishwa kazi

Sasa naskia ile ripoti ya CAG ambayo inasemekana ndio ilipelekea kusimamishwa kwa Mkurugenzi huyu imetoka, cha kushangaza ni kwamba hizo ishu hazijaongelewa hata kidogo na ripoti ni unqualified hivyo ni safi na hata katika kipengele cha manunuzi inaonekana taasisi hii imefuata utaratibu katika kufanya manunuzi ya umma kwa mwaka 2015...
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1473936084.271071.jpg
    82 KB · Views: 55
Hizi tetesi au ulimbukeni wako kwenye hii mitandao?!
 
mume wa madam pale dodoma kanusurika? tulizo la moyo
 
TPDF umesahau yule wa taarifa ya kifaru kuibiwa mtafute umwulize alafu njo changia
 
Hii ya kusimamishwa tu haitoshi, na ikiwa kweli wameamua kumsimamisha maana yake tayari wamejiridhisha kwa tuhuma husika.
Nasubiri kusikia mtuhumiwa anafikishwa mahakamani ili akajibu mashtaka ya wizi na ufujaji wa mali ya uma.
Subira huvuta heri!
 
Magugumaji ameanza kula matapishi yake...enzi hizo kiburi na ulevi wa madaraka vimemjaa anafukuza tu kila asiyempenda!
 
Hapa Ndipo utakapo Jua Kwamba haki Ya Mtu aipotei Bali Inacheleweshwa Tu
 
Hii ya kusimamishwa tu haitoshi, na ikiwa kweli wameamua kumsimamisha maana yake tayari wamejiridhisha kwa tuhuma husika.
Nasubiri kusikia mtuhumiwa anafikishwa mahakamani ili akajibu mashtaka ya wizi na ufujaji wa mali ya uma.
Narudia tena, subira huvuta kheri. Alituhumiwa, akarudishwa, akapanguliwa, akarudishwa etc etc. Maisha ni safari ndefu hadi kufika uendako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…