Were hujitambui kwasasa unakurupuka
Nimekuambia
Sheria ya mitandaoni ilipitishwa kipindi Magufuli hategemewi kuwa Rais
Tena Huyo Lowassa ni mmoja wa walio pitisha sheria hiyo
Kama umemaliza wengine ndo tunaanza. Tafadhali we na wenzio mliomaliza mtuache tutengeneze kesho yetu.Siwezi kupanda zaidi ya hapa sana sana ni kushuka tu (kwa hiari) au kubakia hapa hapa kwa maana nimeshafikia mwisho wa nilichonuia kukifanya maishani mwangu!
Sasa kama kutenda dhambi na unalijua hilo kwanini bado una ID fake?Jamii forum wabadilike ili kila mwanachama aje humu kwa jina lake halisi kwani kuna ubaya gani?
Hivi kama wewe unamheshimu na kumwogopa Mungu na umeahidi moyoni mwako kuyatenda yaliyo ya kweli na kuukwepa uongo.
Harafu ukajiunga jf kwa jina la uongo huoni kwamba unatenda dhambi?
Jf inawaongoza wana chama wake kutenda dhambi ya uongo na kwenda jehanum ya moto.
Nashauri kila mwanachama aje kwa jina lake halisi.
Kwa majina haya ya uongo kitu gani kinafichwa?
Unataka kusema lengo la JF limebadilika.Hayo hayakuwa makusudio ya kuanzishwa kwa JF.
Max na wakuu wengine walikuwa na lengo jema kabisa la kuanzisha JF.
Not on this! Sheria nzima ilipitishwa wakati wa utawala wake. Hii haikutungwa wakati wa utawala wa Magufuli!I will be Loving Jakaya kikwete Forever
Huu ni ushauri kwa wale wenye hofu ya Mungu kutambua kuwa kujisajiri kwa majina ya uongo ni kutenda dhambi ya uongo.Jamii forum siyo forum ya kwanza duniani, na hakuna mahali ambapo members wanalazimishwa kuja na identity zao kamili.
JF ina majukwaa mengi ukiona Jukwaa la siasa ni moto unaenda kujipoza mmu.Hilo tukio unalolisema mimi binafsi nililijua humu JF baada ya mtoa mada kupost. Hivyo kila mtu anaamini na anahisi nani aliyefoji ile documents. Thays y polisi wanamtaka huyo aliyepost aseme kalitoa wapi na ili waweze kumpata muhusika na speculation kama hizo zako za kudhania ziwe confirmed.
Kwa hili serikali ina nia njema sana. JF inabidi irudi kipindi kile cha Na sio sasa imekuwa Political Forums. Kwa CCM na Chadema kuleta habari zao za kichochezi huku hawatoi hata 30,000 za kuwa Gold members
Hakika!Tukiisha sisi mtaanza kutafutana ndani ya ccm .
Unataka kusema lengo la JF limebadilika.
Sasa dhana ya "rule of law" ina maana gani?
Na uzushi anaweza kujaji kwamba huu ni uzushi ni nani?
Hii serikali silijinasibu kwamba niya wanyonge, kwann wa kubwa wanaachwa , wadogo wanasakwa?
Unafiki unafiki tu kwa nn usianze na ww kuwa verified userJamii forum wabadilike ili kila mwanachama aje humu kwa jina lake halisi kwani kuna ubaya gani?
Hivi kama wewe unamheshimu na kumwogopa Mungu na umeahidi moyoni mwako kuyatenda yaliyo ya kweli na kuukwepa uongo.
Harafu ukajiunga jf kwa jina la uongo huoni kwamba unatenda dhambi?
Jf inawaongoza wana chama wake kutenda dhambi ya uongo na kwenda jehanum ya moto.
Nashauri kila mwanachama aje kwa jina lake halisi.
Kwa majina haya ya uongo kitu gani kinafichwa?
JF ina majukwaa mengi ukiona Jukwaa la siasa ni moto unaenda kujipoza mmu.
twitter!! halafu on behalf of my self mkulu ataandika wapi!!Nafikiri wafunge tu social media zote kama ndio raha yao. Mbona simple tu? Kwamba kuanzia leo hakuna Facebook,Insta.tweeter na n.k
Julius Nyerere, Kwame Nkrumah, Nelson Mandela, Samorah Machel, n.k hawa wangekuwa na akili za kipuuzi kama hizi mkoloni leo angekuwa bado yukoJF ina rensponsibility kubwa sana, kama vivlivyo vyombo vingine vya Habari, kuna mambo mengi ya uongo na uzushi huletwa humu na kuachwa, ikumbukwe kwamba nchi nyingi kama Kenya, Rwanda, Burundi n.k Vita ililetwa na Vyombo vya Habari kama redio na TV, hivyo JF ina jukumu la kulinda amani ya nchi, kama ni kweli amekamatwa, na kama siyo kweli basi wajifunze na wabadilike, watambue jukumu lao kwenye Jamii!
CEO wa JF asipumbazwe na watu wanaosapoti kwenda kinyume na Serikali hapa, wengi wao wana maisha yao na wala hawaishi TZ, na JF ikifa kesho, au ofisi ya JF kunyimwa kibali cha kufanya kazi TZ hawana cha kupoteza, zaidi ya kuhamia kwenye mtandao mwingine na kuendeleza wanayoyafanya, hivyo angalia maisha yako na familia yako, fanya lililo sahihi na jinsi Serikali inavyokutaka kwani mwisho wa siku Serikali ndiyo yenye nchi, watakushauri wanachama wa JF wanavyotaka lkn Serikali ndiyo wasimamizi wa hii nchi!
Wewe punguani kweli unadhani JF ni mali ya Chadema.
JF ni jukwaa huru.
Exactly amekubali yote kwa sababu ya kuwalinda memberssio swala la hata sisi tupo mashakani!!!!!
sababu kisa cha yeye kuwa huko ni sisi member ..... kwahiyo sisi ndo tupo mashakani yeye ni kwavile tu amegoma kuwapatia majina
hehehee ngoja nihame id hii kwanza niende ile ingine kiboo