Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Were hujitambui kwasasa unakurupuka
Nimekuambia
Sheria ya mitandaoni ilipitishwa kipindi Magufuli hategemewi kuwa Rais
Tena Huyo Lowassa ni mmoja wa walio pitisha sheria hiyo

Point. Tena wengi wetu hapa tumekuwa tukimsifia Kikwete kwamba aliruhusu uhuru wa watu kujieleza hata mitandaoni tukiwa ama tumesahau au hatujui kwamba ni Kikwete ndiye aliyetega bomu la sheria ya matumizi ya mitandao kabla hajasepa.
 
Siwezi kupanda zaidi ya hapa sana sana ni kushuka tu (kwa hiari) au kubakia hapa hapa kwa maana nimeshafikia mwisho wa nilichonuia kukifanya maishani mwangu!
Kama umemaliza wengine ndo tunaanza. Tafadhali we na wenzio mliomaliza mtuache tutengeneze kesho yetu.
 
Sasa kama kutenda dhambi na unalijua hilo kwanini bado una ID fake?
Watanzania unafiki tutaacha lini sijui!!!
 
JF kuwe na Plan B. Hizi ni zama ngumu kabisa katika uhuru wa kujieleza. Ikitokea baya limeikumba JF basi kuwe walau na namna hizi habari zote zirudi ili mijadala iendelee, baada ya hao wadhalimu kushindwa

Hakuna mahali duniani utawala dhalimu umedumu muda mrefu. Aliuliwa Ghadafi mtaroni na Sadam kwenye kishimo kama fuko nani atashindikana?

So chondechonde admins wa JF kuweni na backup ya mijadala yote humu maana kuna kila dalili za watawala wa sasa kutamani kuifungia kwa sheria au kwa ubabe.
 
Jamii forum siyo forum ya kwanza duniani, na hakuna mahali ambapo members wanalazimishwa kuja na identity zao kamili.
Huu ni ushauri kwa wale wenye hofu ya Mungu kutambua kuwa kujisajiri kwa majina ya uongo ni kutenda dhambi ya uongo.

Na hii ndiyo sababu wengi wanajificha kwenye majina ya uongo kudaganya au kutukana.
Wakiamini hawawezi kupatikana.
 
JF ina majukwaa mengi ukiona Jukwaa la siasa ni moto unaenda kujipoza mmu.
 
Tafadhali msitunyang'anye Jf, ndio social network pekee iliyo bora hapa tz na East Africa. Hakuna jambo litatokea halafu usilione Jf
 
Sasa dhana ya "rule of law" ina maana gani?
Na uzushi anaweza kujaji kwamba huu ni uzushi ni nani?
Hii serikali silijinasibu kwamba niya wanyonge, kwann wa kubwa wanaachwa , wadogo wanasakwa?

Tofautisha uzushi na uchochezi. Uzushi ni kama huu mnaoeneza kuwa Ben Saanane katekwa na CCM uchochezi ni kugushi nyaraka muhimu za serikali ili kucreate panic au chaos kwa wananchi.

Kwa mfano Aliyefoji na kupost ile barua ya mahakama kuzuia uchaguzi wa meya mpaka chombo na mhimili mkubwa kama mahakama kuja kukanusha ule uchochezi. Na judging by political situation ya kipindi kile ingeweza hata kuleta machafuko kati ya wafuasi wa chadema na ccm.
 
Unafiki unafiki tu kwa nn usianze na ww kuwa verified user
 
JF ina majukwaa mengi ukiona Jukwaa la siasa ni moto unaenda kujipoza mmu.

Hii comment yako inahusiana nini na Mada husika au hicho nilichokipost. Watu kama nyinyi ndio mnaosababisha kutia madoa JF na kuwaweka matatizoni viongozi wake
 
Nafikiri wafunge tu social media zote kama ndio raha yao. Mbona simple tu? Kwamba kuanzia leo hakuna Facebook,Insta.tweeter na n.k
twitter!! halafu on behalf of my self mkulu ataandika wapi!!

just joking
 
Julius Nyerere, Kwame Nkrumah, Nelson Mandela, Samorah Machel, n.k hawa wangekuwa na akili za kipuuzi kama hizi mkoloni leo angekuwa bado yuko
 
Mimi sishangai aisee, haya niliyatarajia kabisa tangu mwanzo.
 
Wewe punguani kweli unadhani JF ni mali ya Chadema.

JF ni jukwaa huru.

Nyienyie ccm ndio vinara wa matusi humu.Hili si la chama we kijana.Hata wewe ni muhanga.Sasa matusi na dharau za nini?
 
sio swala la hata sisi tupo mashakani!!!!!
sababu kisa cha yeye kuwa huko ni sisi member ..... kwahiyo sisi ndo tupo mashakani yeye ni kwavile tu amegoma kuwapatia majina
hehehee ngoja nihame id hii kwanza niende ile ingine kiboo
Exactly amekubali yote kwa sababu ya kuwalinda members

Inatisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…