Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hiii kesi tuichanhigie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi kusema jf hii
Kuna watu wanavuka mipaka
Sasa mzigo anabebeshwa Kipenzi chetu jf !!!.
Kama instagram na facebook.Vigezo na masharti inabidi kuzingatiwa ili twende na sheria mpya ya magazeti na ile ya mitandao
kusema ukweli humu JF mazombi tupo wengi mno inabidi uongozi ili ujichomoe na kadhia hii ni muhimu wote kuwa verify our names na adress kwa ujumla wake
kama kweli hatuna nia mbaya,
Watakaosalimika humu ni Lizaboni, Ruttashobolwa na wote wanaoegemea upande wao, wadau wenye mawazo huru tuko mashakani.Hata sisi humu JF pia hatuko tena Salama.
Nafah msalimie warumi mwambie ndio baasi tena watoto wa siku hizi hawaheshimu wakubwaMungu wangu![emoji87]
JF sio salama tena...
Mungu ampiganie Max,kwa uwezo wake tutashinda (Mungu)
Fight bro [emoji123].
Omba sasa.Awamu zote 4 za nyuma zingekua kama hii zamani mi ningeshaomba urai wa nchi nyingine
Mtoto wa kike mie nymaze maaana,JF ina rensponsibility kubwa sana, kama vivlivyo vyombo vingine vya Habari, kuna mambo mengi ya uongo na uzushi huletwa humu na kuachwa, ikumbukwe kwamba nchi nyingi kama Kenya, Rwanda, Burundi n.k Vita ililetwa na Vyombo vya Habari kama redio na TV, hivyo JF ina jukumu la kulinda amani ya nchi, kama ni kweli amekamatwa, na kama siyo kweli basi wajifunze na wabadilike, watambue jukumu lao kwenye Jamii!
Kwani umeambiwa wanatafuta wanachama wa vyama?Mbna vibaraka wa lumumba humu wanatukana n kuropoka hawaguswi
Ulishwahi kusema hili kabla? Au umeona mambo yametokea ndo unasema tuache unafikiJF ina rensponsibility kubwa sana, kama vivlivyo vyombo vingine vya Habari, kuna mambo mengi ya uongo na uzushi huletwa humu na kuachwa, ikumbukwe kwamba nchi nyingi kama Kenya, Rwanda, Burundi n.k Vita ililetwa na Vyombo vya Habari kama redio na TV, hivyo JF ina jukumu la kulinda amani ya nchi, kama ni kweli amekamatwa, na kama siyo kweli basi wajifunze na wabadilike, watambue jukumu lao kwenye Jamii!
Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.
Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.
Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikilia msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.
Taarifa zaidi baadaye
Now this is going too far ...too far ...