Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

MUNGU TUPIGANIE ...HTA SIS MEMBER HATUPO SALAMA

hakuna linaloshindikana wote huku tumuombee tuu.
sio swala la hata sisi tupo mashakani!!!!!
sababu kisa cha yeye kuwa huko ni sisi member ..... kwahiyo sisi ndo tupo mashakani yeye ni kwavile tu amegoma kuwapatia majina
hehehee ngoja nihame id hii kwanza niende ile ingine kiboo
 
Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.

Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.

Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikilia msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.

Taarifa zaidi baadaye
Huu utawala ni hatari, kwa hili la sheria ya mtandao jamii haitaweza kumsamehe rais maishani. Na hata weza kumpita Kikwete.

Wananchi huwafungi midomo namna hiyo katika karne hii.

Wananchi tujiandae jinsi ya kukabiliana na dhulma hii.

Ushauri, wananchi wote mwaka 2020 tumuondoe kupitia uchaguzi.
 
JF ina rensponsibility kubwa sana, kama vivlivyo vyombo vingine vya Habari, kuna mambo mengi ya uongo na uzushi huletwa humu na kuachwa, ikumbukwe kwamba nchi nyingi kama Kenya, Rwanda, Burundi n.k Vita ililetwa na Vyombo vya Habari kama redio na TV, hivyo JF ina jukumu la kulinda amani ya nchi, kama ni kweli amekamatwa, na kama siyo kweli basi wajifunze na wabadilike, watambue jukumu lao kwenye Jamii!
Mnapendaa sana kutolea mfano rwanda na burundi.vyombo vya habari vinapo sifia watukufu hata kwa mambo yasiyo ya kweli sio tatizo hata kidogo.
 
Dunia simama nishuke...

Tuangalie na vijicoment vyetu humu maana wanafiki wapo humu humu na wenye nianjema pia...
 
Tunaomba max atoke salama
Lakini member humu muache upuuzi
Mtambue kuna mamlaka ktk taifa.
Na matusi kwa Jk si kwa jpm someni wakati jamani
Mtasababisha tuikose jf hii
Ikosekane, sio kila unalosemwa au kulisikia likufanye ushindwe kutimiza malengo , minadhani JF ifungiwe tu, Facebook , twitter na mitandao yoooote.

Mnatka, tukae kwenye social media tukiongea the same way?!!!! Kwamba tunaipongeza...... Tunampongeza.......... Zombie sie?!!! Yazimwe tu!!!
 
Does anyone know when they will start showing new episodes again? I can watch reruns all day but I still wanna see some new ones too!!!
 
Ila polisi wapo sawa. Nadhani mnaiju sheria ya makosa ya mtandao.

Sioni kama kuna cha kushangaa hapo. Tuliikubali sheria wenyewe sasa wacha tuisome namba....
 
lawrence-ferlinghetti-poet-quote-freedom-of-speech-is-always-under.jpg
 
Back
Top Bottom