Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Kama instagram na facebook.
Mkuu ikianza hiyo kitu narudi facebook nikachat, na Jf itapoteza mvuto moja kwa moja kwa style hiyo
 
Mungu wangu![emoji87]
JF sio salama tena...
Mungu ampiganie Max,kwa uwezo wake tutashinda (Mungu)
Fight bro [emoji123].
Nafah msalimie warumi mwambie ndio baasi tena watoto wa siku hizi hawaheshimu wakubwa
 
Mtoto wa kike mie nymaze maaana,
 
Ulishwahi kusema hili kabla? Au umeona mambo yametokea ndo unasema tuache unafiki
 

Si JF ilishinda kesi mahakamani sasa amekamatwa ki vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…